Hii n mara ya 3 naisoma lkn bado nakua interested kama n story bac m2nz apew cfa ila kama n kwel bac hich n ksa cha mwaka n wanaume wachache san wenye uwezo kama wa huyo jamaa na kwa hapo alpofkia hata dunia igeuzwe chn juu halafu irudshwe tena hawez kusamehe kuna vng vya kujfunza kuptia huu...
Mtoto mdogo alimfuata baba yake na kumuliza, "Nini maana ya SIASA?". Baba akajibu, "Mwanangu, ngoja nijaribu kujibu kwa mfano huu. Mimi natafuta fedha ya matumizi, hivyo niite mimi BEPARI, Mama yako yeye anasimamia matumizi ya fedha, hivyo mwite SERIKALI.
Mimi na mama yako tuko kwa ajili ya...
Habair wakuu,
Nmeingia JF na kuptia nyuz tofaut tofaut katka majukwaa tofauti tofauti nlkua cjafahamu kama kuna la utambulsho uku hvyo nmekuja mnipokee na ushirikiano wenu utakua mali katka kujuzana yale yanayotuzunguka kama wana jamii. Natanguliza shukrani
ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.