Habar zenu wanaJf, nina laptop min dell ispirion 1018 imekufa keyboard yake pamoja na pot za usb zinachagua flash only flash zangu tuu ndo zinakubali zingine pamoja na usb ya simu inagoma. kurekebisha haya yote inagharimu sh ngap? msaada tafadhari. napatikana dar
Habari nzuri tuu, hebu nenda pale Morocco airtel Kuna dispensary ya Dr Massawe kwa kweli huduma yake kwa watoto ni nzuri, jina la hiyo dispensary nimelisahau kidogo lakini ipo maeneo hayo ya Morocco airtel
Habari zenu wanabodi!
Naomba kuuliza kuhusu Makato ya ya hii mifuko ya hifadhi ya jamii yanatakiwa yakatwe kwenye gross salary au basic salary. Na sheria ya Tanzania inasema nini kuhusu hili suala.
Naomba kuwasilisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.