Kiwanja Kinatafutwa

Hyasinter

Member
Jun 26, 2012
7
1
Bajeti yangu ni 7M..Natafuta kiwanja kiwe Mbezi ya kimara,Kibamba na maeneo mengine karibu na Barbara ya morogoro..Ushauri napokea pia
 
Anaye hitaji Kiwanja Maeneo ya Kitunda tuwasiliane. Kiwanja kina Huduma zote Muhimu kama Umeme na Mitaa iliyopangika. 8kms toka Banana Aviation House. Size ya Plot ni 50sqft X 100sqft.

Kwa Mtu Anayehitaji Kiwanja kwa ajili ya Makazi, hiki Kiwanja sio cha kukosa.

Call/Whatsapp: 0715-240140
 
nend
Bajeti yangu ni 7M..Natafuta kiwanja kiwe Mbezi ya kimara,Kibamba na maeneo mengine karibu na Barbara ya morogoro..Ushauri napokea pia
Nenda Kimara mwisho maeneo ya Bonyokwa kuna viwanja vya bei hiyo
 
Anaye hitaji Kiwanja Maeneo ya Kitunda tuwasiliane. Kiwanja kina Huduma zote Muhimu kama Umeme na Mitaa iliyopangika. 8kms toka Banana Aviation House. Size ya Plot ni 50sqft X 100sqft.

Kwa Mtu Anayehitaji Kiwanja kwa ajili ya Makazi, hiki Kiwanja sio cha kukosa.

Call/Whatsapp: 0715-240140
Bei ikoje?
 
mi natafuta maeneo ya Goba, makongo hadi changanyikeni kama unacho tafaadhali
 
Anaye hitaji Kiwanja Maeneo ya Kitunda tuwasiliane. Kiwanja kina Huduma zote Muhimu kama Umeme na Mitaa iliyopangika. 8kms toka Banana Aviation House. Size ya Plot ni 50sqft X 100sqft.

Kwa Mtu Anayehitaji Kiwanja kwa ajili ya Makazi, hiki Kiwanja sio cha kukosa.

Call/Whatsapp: 0715-240140

Bei sh ngap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom