Ah mkuu anyway tuishi tu mapenzi yenu yana mitego mingi na Sana'a kibao but yote kwa yote mnajuana vizuri yarlekea.
Kifupi tuendelee tu na pirika zetu za mikeka vp siku hz unatumia kampuni gani mzee au bado upo na 1vbet?
Mkuu ww ni msaliti wa makubaliano,sisi kwenye uislam tunakuita "Mnafiki". Haijalishi ht km ni mchepuko lakini ametekeleza vyote ulivyomwambia at the end ww ndo umekuja kuvunja kile ulichomuahidi ss huoni hapo kuwa kuna ujinga umeufanya???
Mm nimeishia pale uliposhindwa kutekeleza kile...
Aliyekwambia wao shida yao ni kuokoa majiji nani?Wenzio kwa pamoja na Ukraine wenyewe wameshaamua Ukraine kuwa uwanja wa vita so kubomoka kwa nchi hiyo kwa ss sio issue maana wote wanajua nchi imeshaharibika ila kwa ss kinachofanyika ni kumchosha Urusi na kummaliza nguvu yake ila mwishoni...
Hv mheshimiwa huwaga huna cha kuandika au ndo makusudi tu,
Ah kiukweli hata km ndo unajibrand kwa style hii nop inatia ukakasi kidogo sababu kila topic upo halafu unachokiandika ndo hichohicho always.Napata mashaka ku figure out kichwa chako kina nn ndani.
Nami naziona dalili hapa kuna kamtu kamekomaa kana mimba kana mimba ila kenyewe kanataka kutoa mm nimekaambia huwa sishiriki utoaji mimba na nitakaruhusu endapo tu kakinithibitishia mimba hiyo sio yangu maana ktk dhambi nisiyoipenda ninkuleleshwa mtoto wa mwingine.
Kamekubali kuwa hakatoi ila...
Ww km mm sijajua hizo rangi zinahusika vp mm biashara yangu ya scrapper rangi wapi na wapi.
Hajaeleza rangi za kitu gani fremu?bidhaa zenyewe au kitu gani
Kama ambavyo mnawasaidia watanzania kununua bidhaa nje ya nchi na kuwasafirishia je mnajihusisha pia na kuwatafutia masoko nje ya nchi ya bidhaa zao na kuwasafirishia???
Khaaaa yaani ww pamoja na watu kukushauri kwa nguvu zote kuwa usijaribu umekomaa tu kupangua hoja zao basi amini ulevi unakunyemelea na ukijaribu tu umekwisha.
Stay away from pombe dada yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.