Recent content by babyclassic

  1. babyclassic

    Dada zetu kwenye mikoba mikubwa hivi mnakua mmebeba nini humo?

    Kuna kondom for emergency nikipata buzi
  2. babyclassic

    Mapenzi yanauma jamani

    Pole sanaa cha msingi tafuta helaaa tuu mapenz peleka kwa kaz yakoo
  3. babyclassic

    Mambo ambayo mwanaume anafanya kukutest kama msichana unafaa kuwa mke wake

    wengine hata ukute hataki umsaidie maana wanawake alonao kama uchafuu
  4. babyclassic

    Wanawake nani kawaambia mnapendeza kuvaa saa za kiume?

    wapo waliotongoza na kuolewaaa na mashuga mami upoooo
  5. babyclassic

    Sifa za wanaume katika mahusiano yao na mapenzi

    sijaona jina lake ila ni muongo na nimalaya hata nikiambiwa ni positive sishangai
  6. babyclassic

    Hivi kwanini wanawake wanapenda kulala upande wa ukutani?

    Mwanamke katoks upande wa kushoto wa ubav wa mwanaume so mwanamke lazima alLe kushoto kwa mwanamme
  7. babyclassic

    Ulifikiri badiliko linakuja hivi hivi ndani ya ndoa?

    Mpaka ifikie mtu kuchepuka lazima kutakua na sababu huwez chepuka bila sabab ya maana hasa wanaume wanachepuka kwa tamaa zao unakut mtu anachepuka na hous girl na ukimuangalia bek tatu alivyo unakosa jibu na pil wanawake wanacheat nje koz mume hamridhishi mchepukaji na anakua hatimiz hoja za...
Back
Top Bottom