Wanawake nani kawaambia mnapendeza kuvaa saa za kiume?

Nilijua unasema suruali siku izi wanavaa viskin wanaboa kweli inachora kila kitu afuvakiwa road anaanza kujistukia pumbaf
 
Hawa ndio wanapendeza?

5c4cb6af21d5405bc17c7c1b0fec7fcc.jpg
 
Acha uchoyo banaaa. Nyie mnavaa vipedo na viskin tight vyetu tumekaa kimya, hereni zetu mnavaa na sandals pia tunawaangalia tu.
Boyfriend watch ndo habari ya mujini kwa sasa. Baby Slim5 nasubiri kwa hamu zawadi yangu
 
Tatizo wanaume wameingilia kuvaa nguo za kike zile za kubana
Wacha na wao wavae saa
 
Mimi Binafsi napenda na huwa nasimamisha sana dushe pale nimuonapo mpenz wangu kavaa nguo zangu,hata kwa kutest tu kiutani utani.

Mfano: Unakuta dem kaja gheto halafu anatest vest yangu huku boobs zake zikiwa out...au anavaa boxer yangu siku nzima.

INAVUTIA KWAKWELI.
 
Mimi Binafsi napenda na huwa nasimamisha sana dushe pale nimuonapo mpenz wangu kavaa nguo zangu,hata kwa kutest tu kiutani utani.

Mfano: Unakuta dem kaja gheto halafu anatest vest yangu huku boobs zake zikiwa out...au anavaa boxer yangu siku nzima.

INAVUTIA KWAKWELI.
Aisee that good
 
Mwanaume aliekamilika na anajiamini kwamba yeye mwanaume wa Shoka kamwe hawezi kukereka na ishu ndogo kama hii wanawake kuvaa saa za kiume!! Wengine waume zetu starehe yao watuone tumevaa vitu vyao kama shati, saa na hata boxer!


**Stop complicating Life, Death is the only way out of it!!



kuna manzi mmoja wakt nko bbo hostel yeye akija room anachukua boxer;singled,xaa anavaa nikaw naon kawaida nakwakuwa zilikuwa nying nikawa naon kawaida t zilkuwa zinampendeza
#jion akija rum unaon katupia kaushi n matit yalivyosimama,mtt anapendeza
 
Aisee hako katabia wanako mpaka kwenye T-shirt.. Yaani my gal haishi kuchukua t-shirt zangu. Nafkir wana ka malephobia now days.
 
Back
Top Bottom