Ha ha ha kawa kama jingaHawa ndio wanapendeza?
Aisee that goodMimi Binafsi napenda na huwa nasimamisha sana dushe pale nimuonapo mpenz wangu kavaa nguo zangu,hata kwa kutest tu kiutani utani.
Mfano: Unakuta dem kaja gheto halafu anatest vest yangu huku boobs zake zikiwa out...au anavaa boxer yangu siku nzima.
INAVUTIA KWAKWELI.
Mwanaume aliekamilika na anajiamini kwamba yeye mwanaume wa Shoka kamwe hawezi kukereka na ishu ndogo kama hii wanawake kuvaa saa za kiume!! Wengine waume zetu starehe yao watuone tumevaa vitu vyao kama shati, saa na hata boxer!
**Stop complicating Life, Death is the only way out of it!!
Huyu kijana huwa namuona na kidoti amekaa kma mchicha mwiba ......au ni fashioniiiHa ha ha kawa kama jinga