So sad, I know how it pains! La muhimu kwa sasa ni kumuenzi mama. Kivipi? Kwa kuendelea kushikilia ''hatma yako mikononi mwako''. Usiyumbe. Like other lovely moms; Your mom fought so long dilligently to make sure you achieve the best, pls promise your mom!
Rest in peace mama!
Ngoja nijiweke kwenye nafasi ya kumiliki clouds media:
Ningepeleka Shafii Dauda kwa sababu moja tu. Quality ya kazi ile ninayotaka akaifanye. Ukiniuliza ina maana wengine wale hawana quality?! Jibu, hata kama wana quality lakini hawawezi kulingana, lazima awepo mmoja bora zaidi na huyo bora...
Karibu tena!
No. Usijali. Hivi ndivyo tunavyoishi. Hakika hakijaharibika kitu. Kuna baadhi ya watu tayari wamesha twist hii kama vile umekuja kutafuta -me! Proof them wrong, if you didn't mean! Otherwise, all the best BabyNice!
Pole.
Kwa nini unaruhusu hayo yote yakutokee? Najua uwezo wa kuyakabili umekuwa down, lkn hakuna namna nyingine isipokuwa kutoruhusu hayo yatokee.
Fanya hv:
Mtafute mwanaume ambaye unamfeel, make sure umejiridhisha naye asije akawa majanga makubwa zaidi. Najua hali hiyo uliyo nayo hata uwe na...
Navyojua:
One,
Achana na mambo ya visa. Wewe vuta jiko, then cheti cha ndoa kitakuwa ndio visa yenyewe automatically. Any querry ikiraise una surrender vyeti vya ndoa, na maisha yanaendelea kwa utulivu.
Two,
Nenda kanisani, hasa kanisa kubwa omba mwongozo.
Tatu,
Unaweza kwenda uhamiaji, omba...
Huyu mrembo wakati akiapa moyo ulikuwa unamdunda sana! Anawaangalia manyang'au live hao hao hapo huku akiwa live kwenye televisions kadhaaa................bila shaka aliogopa sana!
USAHIHI:
Hii habari sio ya kweli. Bado haijathibitishwa rasmi na wenye kuthibitisha. Stori hii imekuwepo kwenye mitandao mikubwa sana kama yahoo tangu mwanzoni mwa wiki hii. Media kubwa kubwa za UK zimeongelea sana hii kitu lakini hadi sasa hakujathibitika kama huyu profesa amesolve hii hesabu...
Haya ni kawaida sana katika ulimwengu wa mapenzi, sema tu wengi hawasemi, pia kukaa two years bila kukulwa nakupongeza sana aisee! Endelea kufurahi maisha yako wala hakuna haja ya kuumia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.