Recent content by Babumawe

  1. Babumawe

    Ulijuaje una date na wakishua bila mwenyewe kukuambia

    •Mimi Kuna siku tumbo liliunguruma akasema nifundishe na Mimi •Siku nyingine akaniambia eti nikimuacha atakunywa maji ya mvua afe •Juzi hapa akaniambia anatoka mara moja kumbe kaenda dubai
  2. Babumawe

    Mliokimbia DAR acheni kutusumbua kila muda mnapiga simu kuulizia

    Hawa jamaa wanataka sie ndo tuwe chambo
  3. Babumawe

    Mliokimbia DAR acheni kutusumbua kila muda mnapiga simu kuulizia

    Ndugu zetu mliopanda mabasi na kutokomea mikoani huko ebu acheni kupiga piga simu kuulizia hali ya huku, sisi sio mareporter kwaio mlivoondoka huku mlitegemea nani ataingia barabarani
  4. Babumawe

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hizo ni paramilitary institution soma vizuri
  5. Babumawe

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Majibu ya saili nyingi yanaanza kutoka January, hii ni according ya moja ya source ya kuaminika sana kutoka PSRS
  6. Babumawe

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ni sahihi si wanahitaji pia na mtu wa certificate
  7. Babumawe

    D9 on the way: Haya ndio matukio 10 kutokea hayatosahaulika tangia tupate uhuru

    2011: kikombe cha babu wa loliondo kilitikisa sana hata yule Raisi aliyekuwa role model wenu alifika kule
  8. Babumawe

    D9 on the way: Haya ndio matukio 10 kutokea hayatosahaulika tangia tupate uhuru

    1984: Ajari ya gari na kupelekea kifo cha Moringe Sokoine, waziri mkuu wa Tanzania kipindi hicho aliupiga mwingi sana
  9. Babumawe

    D9 on the way: Haya ndio matukio 10 kutokea hayatosahaulika tangia tupate uhuru

    Haya ni matukio 10 yaliyowahi kutokea na kutikisa nchi tangu.Hayo ndo matukio ambayo sio rahisi kufutika na kusahaulika vichwani mwa watanzania walio wengi. yapo kwa mpangilio kuanzia namba 10 mpaka namba 1. kama kuna tukio lingine limesaulika ongezea. 10•••1982: Ndege ya Air Tanzania...
  10. Babumawe

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    January ndo kutakuwa na placement za kutosha we vuta subira kwa sasa
Back
Top Bottom