Okay ni Sawa nimekupata, lakini biblia inatusimulia wakati Fulani wakati yesu alipoenda mlimani kuomba, akawachagua watatu, Petro, yohana na yakobo, wanafunzi wengine walibaki chini ya mlima, Sasa kama umavojua alipo yesu watu hukusanyika kwa ajili ya kuponywa matatizo yao., akaja mzee aliemleta...