Recent content by Babu Kingo

  1. Babu Kingo

    Biharamulo: Kijana akamatwa kwa tuhuma za kuwasha moto ulioteketeza nguzo za umeme 9

    H Shukran na pongezi kwa kila aliehusika na kuwatafuta wahusika. UCHUNGUZI MAKINI NA WA HAKI UFANYIKE, SASA ATAKAEGUNDULIKA NI KWELI AMEHUSIKA AFANYWE MFANO HADHARANI ILI WENGINE WASIJARIBU TENA NDIO TUSONGE MBELE. LAA SIVYO KILA SIKU TUTAKUWA TUNAANZA UPYA TUU
  2. Babu Kingo

    Kenya: Mwanamke wa miaka 62 akamatwa kwa ujambazi na kuhukumiwa miaka 35 Jela

    SUCH AN OLD WOMAN!!! IT HAPPENED IN 'KENYA!!' KWELI KENYA NI SHEEDA
  3. Babu Kingo

    Amnesty International yawashutumu Polisi wa Marekani kwa uvunjifu wa Haki za Binadamu kwa waandamanaji

    HAO WATETEZI WA HAKI ZA. BINADAMU NI VYOMBO VISIVYOKUWA NA MENO CHINI YA HAO HAOO WATUHUMIWA! KAZI KWERI KWERI
  4. Babu Kingo

    Papa Benedict XVI aripotiwa kuwa mahututi baada ya kutoka kumsalimu Kaka yake aliyekuwa mgonjwa nchini Ujerumani

    Kila nafsi itaonja umauti Sababu hazitakosekana ila ni lazima aliloandika Allaah litekelezeke na sio vinginevyo. ... Ova...
  5. Babu Kingo

    Korea Kaskazini: Mtu wa kwanza anayehisiwa kuwa na Corona apatikana

    DEFINATELY THIS IS A BIOLOGICAL WAR FROM SOUTH K & 'THE TEAM' AGAINST 'KIDUKU'. HATA HIVYO WAMEHANGAIKA NAE MDA MREFU KWA MAFANIKIO KIDUCHU NA SIDHANI KAMA HUYO MGONJWA ATADUMU KWA SIKU2 NDANI NK. ITABAKI STORY TU! ILI WENGINE WAKITUMWA WASIKUBALI.
  6. Babu Kingo

    Ufaransa: Watoto wawili waepuka moto kwa kuruka kwenye jengo urefu wa mita 10 na kudakwa na watu

    Moto ni kiboko ya adhabu kwa kiumbe yeyote yule. Hao wameokoka na moto mdogo tu wa kidunia congrats, kilichobakia ni kujiepusha na moto mkali zaidi wa akhera.
  7. Babu Kingo

    Angellah Kiwia na dereva wahukumiwa kulipa 800,000/-

    Mh! sasa tunakoelekea siko kabsaaa daaaah!!
  8. Babu Kingo

    15 kizimbani wakidaiwa kutumia simu kutapeli

    HUWA NINAJIULIZA SAAANAA. MBONA MIMI NINAPOKEA MESEJ ZA MATAPELI KILA MARA?? NI LINI WAHUSIKA WATACHUKULIWA HATUA? MBONA NAMBA HIZO ZIMEONGEZEKA BAADA YA USAJILI WA VIDOLE KUANZA?!! SASA KUMBE MAASKARI WANAWATIAGA NGUVUNI. SAFI SANA.
  9. Babu Kingo

    Waandamanaji wamtaka Netanyahuu ajiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu na kuachana kabisa na siasa

    Aaaalaaaaaaa !! Kuuumbeee!! Corona na nyie imewapiga mnanyamazia sio??!!
  10. Babu Kingo

    Kesi ya Tundu Lissu: Serikali yawawekea ngumu Wadhamini kujiondoa

    Hahaha mmemdhamini yule jamaa!!? Huo ni mtihani kwenu. poleni sana
  11. Babu Kingo

    Serikali: Mechi ya Simba na Yanga imeonesha elimu zaidi bado inahitajika kuhusu CoronaVirus

    Kwani kuna mtu ambar alitaraji tofauti na hivyo? Hakuna cha kustaajabisha kwa mashabiki kufanya hivyo kiatariatari zaid Kuna big mech ingine hapo nyuma kidogo mambo yalikuwa kama hivyo tu so hakuna jipya. Na sio hapo uwanjani tu bali hata ktk mabanda ya kuonyesha mipira takriban nchi nzima...
  12. Babu Kingo

    Afrika Kusini kurejesha masharti ya kutokutoka nje. Uuzaji wa pombe kupigwa marufuku

    HIYO MIPOMBE NI SABABU KUBWA ZAIDI YA KUAMBUKIZANA VIRUSI VYA HiV PIA, MAANA SIO TU VIRUSI VYA KORONA PEKE YAKE. KWA HIYO BORA ZAID SIO KUPIGA MARUFUKU UUZWAJI WA POMBE KWA MUDA FLAN TU, BALI INATAKIWA KUPIGA MARUFUKU MOJA KWA MOJA NA BADALA YAKE VIWANDA VYA POMBE VIGEUZWE KUWA VYA KUTENGENEZA...
  13. Babu Kingo

    Facebook wafuta uzushi wa askofu Josephat Gwajima kuhusu COVID 19 aliokuwa ameuandika kwenye ukurasa wake ndani ya mtandao huo

    BADO NI KAMA UMNAMTETEA NA KUMBEBABEBA. HUYU ALISHAGEUKIA KWENYE UPEPO WA 'LOWER SIR' UCHAGUZI WA 2015 AU MMESAHAU? NA AKAONGEA MANENO MACHAFU SANAKIPINDI KILE. NA SASA YUPO WAPI? NI KIGEUGEU KTK KILA KITU. BORA MASLAH YAKE YAENDELEE KUKUA TU ANAWEZA KUSEMA CHOCHORE!
Back
Top Bottom