Au aniombe nimvushe na kad yangu alipe elfu 20. Badala ya elfu 30 ya kadi na nauli yake... alafu akishuka panton akiona watu wanakimbia na yeye akimbie asikae kizembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Namshukuru Mungu. Na mimi nimelamba asali kupitia database, asanteni kwa kampani humu ndani ktk safari hii..haikuwa rahisi'
ktk kusubiri kuna stress nyingi sana..
Kwa miaka 6 sasa nimefanya interview zaid ya 10..
Hatimae nimepata placement ya oral tulofanya mwaka jana.
Status kote iko...
Na wish jina Lake lionekane kwenye placement huyu wizy, aje na ushuhuda hapa afunguke vizuri.. Namna hekaheka za mikando zilivomfanya had akabadili jina[emoji1787]
Daah kweli inaumiza sana kukandwa, asikwambie mtu haya maumivu uyasikie tu kwa wengine.. Mimi ni mmojawapo niliyekandwa yaani inauma hatari. Wizy aje tuu tufarijiane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.