hapo kwa kweli kuna shida kidogo, ndoa za wake wengi mbona zinaruhusiwa Tz, angefuata nyayo za mz Mengi, anabeba jiko mbili mchezo unaishia hapo. hakuna mtu angekwazika.
Ila kwa mazingira hayo inabidi bw. Peter afunguke, aeleze ukweli ulivyo asubiri msamaha kama utapatikana.