Recent content by Babeake

  1. Babeake

    Nini hutoa baada ya mtu kuzikwa

    Pole sana Mwenyezi Mungu aendeele kuuponya moyo wako kadri siku zinavyokwenda.
  2. Babeake

    Nini hutoa baada ya mtu kuzikwa

    Pole sana Mwenyezi Mungu aendelee kukutia moyo.
  3. Babeake

    Kumbukumbu baada ya msoto mkali

    Pole sana mkuu.Hakuna marefu yasiyo na ncha hongera kwa kuishinda changamoto. Hii hali ninaipitia sasa.
  4. Babeake

    Ni kitu gani ukipata leo siku yako itamalizika poa?

    Mimi nipate email au message ya kupata kazi siku yangu ingeisha vyema kabisa.
  5. Babeake

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Naomba kujua dawa ya mtoto ambae akilala anatafuna meno.
  6. Babeake

    Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

    Huu ninao nyumbani mkuubwa
  7. Babeake

    Nimemzika na mama mzazi

    Pole sana Nakadori Mwenyezi Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
  8. Babeake

    Crazy things you did in secondary school

    Enzi hizi acha kbsa aiseee.Ila nilipita juzikati pale sio kama miaka yetu ile
  9. Babeake

    TANZIA: Mama mzazi wa Mshana Jr amefariki dunia

    Pole sana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Babeake

    TANZIA: Mama mzazi wa Mshana Jr amefariki dunia

    Pole sana Mkuu.Roho ya Marehemu apumzike kwa Amani..Amina,
  11. Babeake

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    tatizo la mdomo kunuka linachangiwa na kutopata choo vzr....jiangalie upataji wako wa choo ukoje
Back
Top Bottom