Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,138
Great post
We jamaa wewe!!
Maneno yake ni yale yale siku zote yamejaa encouragement, thanx bro.
Tupitiayo ni mengi sana magumu na yenye kuumiza moyo kwa wakati fulani mbaya zaidi unaweza kukata tamaa kwa kutoona mwanga mbele yako hivyo kutokujuwa ni njia ipi sahihi ya kupita, Wasiwasi, hofu ya kesho itakuwaje imekuwa ni sababu kubwa ya kubeba maumivu moyoni na kupelejea msongo wa mawazo.
Kwa magumu yote tunayopitia nguvu kubwa ipo katika kukubali na kuamini kisichoonekana, fikra zako utakavyo zikubali na kuamini kwa wakati uliopo imma ziwe hasi ama chanya ndivyo utakavyoweza kuendelea kuwepo au kutoka mahali upo.
Mshana Jr. Am on ma way to kilingeni nitadrop hapo for three days mzee.




karibu sana... Mawasiliano unayo nadhaniYeah nimekutext katika namba yako ya mtandao Pendwa wa uarabuni.karibu sana... Mawasiliano unayo nadhani