Bro ninavohisi haitofanya kazi sababu sio signal sababu tanzania ndio wanaofungua hiyo server au?
Maana ukiangalia beam mombasa na tanga ni uso na pua lakini kwenye map ya Starlink ukiweka tanga inakwambia huduma bado ila mtu alieko mpkakani na map yake inasoma kenya basi inafanya kazi
wee umepita tu haujakaa wenye kukaa ndio sie tuliopo na mpaka watoto tumezaa acha kudanganya watu
eti wacomoro wanakula bila kunawa , hilo ni suala la mtu binafsi kama uliona mtu kafanya hivyo hilo ni suala lake binafsi inamaana tukisema watanzania wote malaya wee utaridhika kwasababu tu...
Nilichelewa kuona hii post umeongea mambo mengi ambayo umetukashif sisi wakomoro na inaonyesha huijui comoro tafadhali rekabisha post yako halafu tuje kukusaidia maana naona umeropokwa mambo mengi umeiponda comoro na ukaipônda zanzibar inaonekana una ubaguzi wa visiwa sisi ndio tunaokaa...
Neymar Agrees to Stay at Paris Saint-Germain After Barcelona Fail to Agree Deal to Sign Forward
Neymar's dream return to the Camp Nou appears to be dead, as talks between Paris Saint-Germain and Barcelona have broken down, putting an end to any opportunity of a move away from France for the...
psg wanataka 130m euro + rakitic + osmane debele + tolibo sasa huu nitawaona barca wajinga sana wachezaji 3 na hio hela kwa neyma mmoja yanini kun'gan'gania wakati grizou na king messi wapo rafihna pia yuko poa
dili la neymar ni ngumu japo kua yee mwenyewe chaguo lake kubwa ni kurudu barcelona laikini ngoma ngumu mwarabu hatomuacha tu aende hivi hivi lazima hela yake irudishwe na kwa timu ya barcelona hakuna uwendazimu wa kutoa euro 220mil kwa wingi 100mil na + wachezaji 2 na mwarabu hayupo tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.