Recent content by Babavos

  1. B

    JamiiForums Tanzania Nauza pumba za mahindi

    Niende mojamoja kwenye mada nina Gunia 100 (KULINGANA NA MTAJI WANGU UKIHITAJI NIKUKUSANYIE PIA SAWA) ya pumba za mahindi nauza kg moja sh 80 niko kanda ya ziwa kwa anayehitaji tufanye biashara tuchekiane PM
  2. B

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata soko la pumba za mahindi na mashudu kama unahitaji

    Asante mzee wazo zuri
  3. B

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata soko la pumba za mahindi na mashudu kama unahitaji

    Kg moja ina 80sh
  4. B

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata soko la pumba za mahindi na mashudu kama unahitaji

    Ndio mtaji sina mzew
  5. B

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata soko la pumba za mahindi na mashudu kama unahitaji

    Ninachomaanisha mimi sina mtaji wa kukusanya gunia nyingi ila najua mahali zinapatikana kwa bei nzuri kwa kg unapata kuanzia 80,90 mpaka 100 pumba za mahindi mhume@kennedy@Bush Dokta@NNRWA
  6. B

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata soko la pumba za mahindi na mashudu kama unahitaji

    Kama unahitaji kukusanyiwa pumba za mahindi na mashudu kwa bei nafuu sogea tufanye Biashara ASAP
  7. B

    JamiiForums Tanzania Wekeza Milioni 7 upate Milioni 20 ndani ya miezi 6

    Kufikia July mchele utakuwa aukamatiki mwaka huu mvua chache sana kwa baadhi ya mikoa majaruba mengi hayana maji mpk sasa na gunia la mpunga mpaka sasa lina 70k sasa sijui mpka july itakuaje
  8. B

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Mkuu 2030 anatakiwa kijana anayechukia Rushwa na Ufisadi kwa nguvu, moyo na akili zake zote

    Ulitegemea aendeleee kuitwa wa awamu ya tano
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    NItakua natoa ODDS MBILI FREE DAILY N.B ILA KUNA GROUP LA ODDS 3+ UKIPENDA LAKINI NICHEKI NIMESISITIZA UKIPENDA NA KUNA GHARAMA KIDOGO ILA ODDs 2 FREE NITAKUWA NAPOSTI HUMU LETS GO
  10. B

    JamiiForums Tanzania Nielekeze Kijiji chenye uchawi uliokithiri nikaishi huko

    Mwakashindye
  11. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Anakaimu vizuri tuu mi nimeshuhudia mara kadhaa
Back
Top Bottom