IJUE METAFORCE
,
META FORCE
Ni MFUMO uliopo ndan ya technolojia ya BLOCKCHAIN AMBAO UNATUWEZESHA SISi KUCHANGIANA DIGITAL COIN*....
Kuna FAIDA kubwa ndan ya META FORCE kuptia digital coin... hapa lzma kujua digital coin inayoitwa *pos *
katika META FORCE
tutachangiana sarafu inayoitwa...
Wakuu naombeni msaada.
Simu yangu ni aina ya Aquos Zero 801SH. Mwanzoni sikujua tatizo linatokana na nini ila nilivyofanya uchunguzi binafsi nikagundua kuwa kila nikiingia telegram tu simu inajirestart, nimejaribu kure install na kuinstall app mpya ila shida iko palepale. Apps zingine ziko poa...
Naombeni msaada, Nina simu aina ya AQUOS zero 801SH, nadhani Kuna settings nilifanya bila kujua, Sasa hivi nikiwasha data simu inakuwa inajirestart mara Kwa mara, mpaka inaboa. Naomba mwenye ujuzi anisaidie. Pia nakumbuka niliingia kwenye build namba kama developer. Pia naona Kuna kialama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.