Recent content by BabaPrince

  1. BabaPrince

    Hakuna uume mdogo kwenye maumbile ya mwanamke aliejitunza lakini kwa mabinti wa sasa huo msemo umepitwa, wenye uume mdogo wanadhihakiwa sana

    Asilimia kubwa ni saiz za kati, ukikutana na mdada imeshatanuliwa ndiyo shida inapoanzia
  2. BabaPrince

    Kupata mtoto wa pili

    Duuh pole kaka, ila mtoto ni mipango ya Mungu
  3. BabaPrince

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    IJUE METAFORCE , META FORCE Ni MFUMO uliopo ndan ya technolojia ya BLOCKCHAIN AMBAO UNATUWEZESHA SISi KUCHANGIANA DIGITAL COIN*.... Kuna FAIDA kubwa ndan ya META FORCE kuptia digital coin... hapa lzma kujua digital coin inayoitwa *pos * katika META FORCE tutachangiana sarafu inayoitwa...
  4. BabaPrince

    Msaada Simu inaji reboot

    Wakuu naombeni msaada. Simu yangu ni aina ya Aquos Zero 801SH. Mwanzoni sikujua tatizo linatokana na nini ila nilivyofanya uchunguzi binafsi nikagundua kuwa kila nikiingia telegram tu simu inajirestart, nimejaribu kure install na kuinstall app mpya ila shida iko palepale. Apps zingine ziko poa...
  5. BabaPrince

    Msaada kwa wataalamu wa simu

    Naombeni msaada, Nina simu aina ya AQUOS zero 801SH, nadhani Kuna settings nilifanya bila kujua, Sasa hivi nikiwasha data simu inakuwa inajirestart mara Kwa mara, mpaka inaboa. Naomba mwenye ujuzi anisaidie. Pia nakumbuka niliingia kwenye build namba kama developer. Pia naona Kuna kialama...
  6. BabaPrince

    Series Kali

    Wana JF nawasalimu. Naomba mwenye mapendekezo ya series Kali za kuangalia Netflix anijuze tuenjoy wote. Kumbuka NETFLIX tu kama ipo
  7. BabaPrince

    Msaada; maumivu katika korodani

    Niliwahi kuwa na tatizo kama hilo, tatizo linaanza ukisimamisha kwa muda mrefu, yani usifanye romance muda mrefu sana epuka hiyo,
  8. BabaPrince

    Maajabu ya karafuu katikati mwili wa binadamu

    Nimejaribu kutafuta mahali inaongeza nguzu za kiume sijaona daaah
  9. BabaPrince

    Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Acha imani za kishirikina japo yapo ila kimini ndiyo unaipa nguvu upande wa giza, mwenye haki ataishi kwa imani bro
  10. BabaPrince

    Zijue faida za Kiafya za Kitunguu Swaumu (Garlic) Featured

    Mbona hujasema matumizi yake mkuu?
  11. BabaPrince

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Uzi toka 2017 bado unatrend
Back
Top Bottom