BabaPrince
Senior Member
- Jan 10, 2016
- 137
- 56
Kwa nini usinunue hisa za bank moja yenye faida kubwa.
Kwa nini usinunue hisa za bank moja yenye faida kubwa.
Dse Bank zenye uhakika ni mbili TU. NMB na CRDB ukipata mpunga nunua nusu kwa nusu then tulia subiri baada ya miaka 5....... Utakuja na vigelegele hapaMwaka huu nimejipanga kununua NMB na CRDB, Huo ni uwekezaji wa uhakika, kuna hizo bank zina potential kubwa sana na growth yake iko consistency