mie pia ni ticha nafundisha madudu ya ccm darasani ili wanafunzi wangu wajue chakufanya mwaka huu maana majanga kama take home ni 5 nakidogo dah bora li ccm litoke tu!
Mimi naona huyu aliyeandika hii habari pengine atasaidia sana maana ukimya umetawala ndani ya serikali yetu sikivu hivyo swali lililoulizwa kwenye gazeti ni msaada kwa wanaosubiri ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.