Recent content by babakaelyn

  1. B

    Kwanini wafanyakazi hatuna TIN numbers?

    It sound good
  2. B

    Haya ya kweli kuhusu Rock City Mall?

    Achana na huyo jamaa coz hajui anaandika nini, na sijui anatokea wapi. Kwani kuongeza Mia Moja katka Mia nne leo ishakuwa twice.....!!!!!!
  3. B

    Vituko vya binti wa kazi toka Tanga

    Mfanyie surprise, amka asubuhi na mapema umsimamie kuoga, kupaki nguo zake then muweke wazi kuwa unamrudisha nyumbani. Huyo binti nahisi pia ana mambo ya kishirikina kulingana na maelezo hapo juu. Hata miye nilishapata mkasa nikuuweka wazi utashangaa sana hayo masaibu.....
  4. B

    Moshi wa bangi ukeni

    Hawana habari.
  5. B

    Wanakwenda shule kufanya nini?

    Wanafanya yao, Mbona hujaoji mtu kusomea ualimu Lakini anauza pharmacy
  6. B

    ACT-Wazalendo; Ilikuja kwa kasi na inakufa kwa kasi ya ajabu

    They need to step back na kujitathimini upya, kwani hata kitilamkumbo alipoombwa awanie urais aliona kabisa kuwa hawatoshi akajitoa kiaina.......
  7. B

    Kikwete: Wanaokwepa Kodi hawataacha kirahisi, Magufuli endeleza mapambano

    Uhalisia unaonesha mzee anahusika, asikwepe kwa hili.......
Back
Top Bottom