Recent content by babababababa

  1. babababababa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Alafu siku nyingine jifunze kufikiria kabla ya kuandika.....kweli wewe ni mtanzania wa 2020...ndio akili zenu
  2. babababababa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Wewe umeshaingiza tsh ngapi?...wewe ndo mjinga unayezarau mawazo ya mtu ililhali ya kwako yamekushida....weka post yako ufundishe hizo fursa...hii ndiyo Jf
  3. babababababa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Noma sana
  4. babababababa

    JamiiForums Tanzania Lengo la sisi kuwa hapa duniani ni nini?

    Ni hatari
  5. babababababa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Safi
  6. babababababa

    JamiiForums Tanzania Biblia kwa Jicho Jingine

    Safi sana
  7. babababababa

    JamiiForums Tanzania Wananiuliza DEVIL ni Nani

    Fanyeni na vitendo sio kuongea tu...kuna watu wanaishia kisoma tu. Afu anaanza kubisha wakati hajawai kuona haya mambo..acheni masiara kabisa kama huamini mtafute mtu anaejua kisha utajionea live. Kisha urudi hapa baada ya kuona
  8. babababababa

    JamiiForums Tanzania Wananiuliza DEVIL ni Nani

    Ondoashaka mkuu. Ila njoo ukiwa umejiandaa vizuri kiakili 2 uwe na nia ya dhati.3 ondoa hofu kabisa. 4 ukiwa muoga mimi sitahusika kwamadhara...uje ukiwa pekeyako....usije kunichunguza ukajifanya mpelelezi. Karibu sana rafiki.
  9. babababababa

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

    Duh
  10. babababababa

    JamiiForums Tanzania Wananiuliza DEVIL ni Nani

    MKUU hutakiwi kujaribu unatakiwa kuamua kufanya. Nitafute Kama unataka kustajabu mambo ya dunia. Njoo ukiwa tayari kabisa...wewe ujui Kitu alafu unabisha....
  11. babababababa

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa kuwaondoa Machinga mitaa ya Dar es Salaam urejewe upya

    Mimi nina swali... Hivi Tanzania inazalisha wasomi wangapi kwa mwaka? 2 serikali idadi yao ya ajira kwa mwaka ukoje.. Na wale wasio ajiriwa wanafanya kazi gani?
  12. babababababa

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa kuwaondoa Machinga mitaa ya Dar es Salaam urejewe upya

    Kwahiyo wewe unaona chanjo ya korona ni sahihi.. Na kama ni sahihi kwanini unasaini nakuambiwa et madhara ni juu yako? Acha bangi kabisa... Chanjo ya korona haina uhakika duniani kote.. Hii ni vita ya uchumi
  13. babababababa

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu ana sura ya mwanadamu?

    Mungu hafananishwi na mwanadamu bali labda afananishwe na mtu(roho) maana mtu anaishi ndani ya mwanadamu(ni roho) spiriti..
Back
Top Bottom