Inasikitisha pale mkulima anapotumia nguvu zake kwa kulima mazao laakini anakosa soko / kiwanda cha kuuzia mazao yatokanayo na kilimo. Mfano mdogo ni kilimo cha matunda kama Machungwa, Nyanya,Mananasi N.k
Msimu wa haya matunda unapowadia unakuta wafanya biashara wachache kutoka nchi jirani...
Mke kutembea nje ya ndoa..makapuni ya simu haiwahusu kutoa jina au majina ya walio wasiliana na mkeo. kwanza ingekuwa vema kuwekeana mipaka na mkeo kuhusu kupokea au kutumia simu zenu maana wote ni wacheza rafu za uroda.
Waungwana hamjambo?? Napiga hodi kwenu tafadhalini nipokeeni ni mgeni wenu kwenye Blog hii ya Jamii, ndiyo naja kwenu leo.
Jamani nimekuwa mwanachama, nakubali hiki ni kisiwa cha fikra. Asanteni sana nikaribisheni kwa moyo.
Tuijenge nchi yetu kwa pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.