Mi hapa sijakuelewa Gerad2008 naomba unifafanulieHii kali mno hapa sijui tumlaumu nani. Ila kutembeza kipigo kwa men peke yake sijakubaliana na hiyo hali
Hayo ndiyo mambo ya BWABWA!
Gazeti "Very Classic" ni Risasi Jumatano?
Ukistaajabu ya Mussa....
sasa mbona huyo baba hatajwi jina wala picha yake haipo,huu ni unyanyasaji na udhalilishaji wa wanawake
Qn5. Hao watu wanaofumania wanajua vipi muda na dakika ya fumanizi? Kwanini wasifumanie wakati wawili hao wakitoka? bali wanafumania dakika chache kabla ya kuanza kula tunda?
BWABWA!, aaaaakh!
"Gazeti Very Classic kwa habari za kufichua maovu"
Hivi , huyo Hamis ni Kiboshole wa wapi?.
Hivi inakuaje mwanamkea aliyepata kipondo akaka kitandani ametulia tuli tena kama ana kemea jambo furani (asipigwe picha??) , Hivi, inakuwaje hata kitanda kisivurugike kama kulikuwa na purukushani la mumewe na wapamabe?,
Ahaaaa, inakuwaje bana hata huyo mgoni mwingine hayupo pichani wakati habari inasema "walifumaniwa wakiwa kitandani na matukio yote kurekodiwa?
Hivi, inakwaje BWABWA hiyo kameara iliyotumika ishingwe hata kuonyesha wapambe wa Hamisi wala hata dalili u za kuwepo kwa vurumai kwenye eneo la tukio!
Hivi nikiamini hii ni picha ni ya "dada poa fulani" ambae anaweza pia kuwa sio wa huko Sinza kuna kanusho?.
BWABWA na " magazeti classic ya kufichua maovu"....mbona hayo "maovu yenyewe yaweza kuwa ndani ya hilo gazeti kuliko tukio lenyewe??
Hii habari iweje iandikwe kama makanda wa video, ..."SAKATA LINAENDELEA.... kama si biashara za kiini macho za kina Shigongo na timu yake??.
BWABWA!, aaaaakh!
"Gazeti Very Classic kwa habari za kufichua maovu"
Hivi , huyo Hamis ni Kiboshole wa wapi?.
Hivi inakuaje mwanamkea aliyepata kipondo akaka kitandani ametulia tuli tena kama ana kemea jambo furani (asipigwe picha??) , Hivi, inakuwaje hata kitanda kisivurugike kama kulikuwa na purukushani la mumewe na wapamabe?,
Ahaaaa, inakuwaje bana hata huyo mgoni mwingine hayupo pichani wakati habari inasema "walifumaniwa wakiwa kitandani na matukio yote kurekodiwa?
Hivi, inakwaje BWABWA hiyo kameara iliyotumika ishingwe hata kuonyesha wapambe wa Hamisi wala hata dalili u za kuwepo kwa vurumai kwenye eneo la tukio!
Hivi nikiamini hii ni picha ni ya "dada poa fulani" ambae anaweza pia kuwa sio wa huko Sinza kuna kanusho?.
BWABWA na " magazeti classic ya kufichua maovu"....mbona hayo "maovu yenyewe yaweza kuwa ndani ya hilo gazeti kuliko tukio lenyewe??
Hii habari iweje iandikwe kama makanda wa video, ..."SAKATA LINAENDELEA.... kama si biashara za kiini macho za kina Shigongo na timu yake??.