bibie, sasa hivi hutochelewa kuandika nyerere aliukandamiza uislam Tz, nyerere keshaondoka siku si haba madarakani na duniani walomrithi wamekalia uchumi au wameuharibu uchumi, anzia hapo... hii post yako ina harufu ya udini ndo maana na mimi nimekujibu hivyo hivyo.