nyie wanawake ni wa ajabu sana, siku moja niliandika thread kwamba ndani ya dakika tatu ninamfikisha bibie wangu kileleni na mimi napiga bao la clint demsley, mkaniambia mapenzi ya kuku, kwani mapenzi mpaka umsugue mwanamke kwa nusu saa ndo ujione wewe kidume, acheni story za vijiweni za...
bibie, sasa hivi hutochelewa kuandika nyerere aliukandamiza uislam Tz, nyerere keshaondoka siku si haba madarakani na duniani walomrithi wamekalia uchumi au wameuharibu uchumi, anzia hapo... hii post yako ina harufu ya udini ndo maana na mimi nimekujibu hivyo hivyo.
kiukweli wengi bwana money mashombe wengi nawajua wanaishia kuharibikiwa na madawa ya kulevya, bangi, pombe ndo usiseme, alafu wengi ni vilaza shuleni. nyingine wana ubaguzi wa rangi sana.
hawezi kurudi jiziemu, ila viongozi wa ccm wa mkoa walikuja harusini, wakakuta mziki wa wageni wakimshangilia Freeman mbowe, ndugu yangu ccm Arusha ni marehemu wa siku nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.