Recent content by baba ye2

  1. B

    Hivi ni kwanini wamasai hawawezi kabisa kazi ngumu?

    Mbona wewe umeshika hilo jembe miaka nenda rudi lakini umasikini umeguganda kama nini.
  2. B

    Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

    nyie wanawake ni wa ajabu sana, siku moja niliandika thread kwamba ndani ya dakika tatu ninamfikisha bibie wangu kileleni na mimi napiga bao la clint demsley, mkaniambia mapenzi ya kuku, kwani mapenzi mpaka umsugue mwanamke kwa nusu saa ndo ujione wewe kidume, acheni story za vijiweni za...
  3. B

    Big up Rais wetu kwa kumtafutia fursa Diamond

    Nafurahi sana faiza unampewmda Yesu, hata hayo maruwhan yalo ndani yako yanajua hatari ya Jina la Yesu, embu jaribu kuyauliza uone moto wake.
  4. B

    Maajabu ya Tanzania

    bibie, sasa hivi hutochelewa kuandika nyerere aliukandamiza uislam Tz, nyerere keshaondoka siku si haba madarakani na duniani walomrithi wamekalia uchumi au wameuharibu uchumi, anzia hapo... hii post yako ina harufu ya udini ndo maana na mimi nimekujibu hivyo hivyo.
  5. B

    Msanii wa Filamu "Adam Philip Kuambiana" afariki dunia

    Huyu jamaa ndo alicheza fake pastors na ray, vicent kigosi.
  6. B

    Impact ya mabomu Nairobi katika utalii wa Arusha

    kama unampenda Godbless Lema siumtumie appliçtion za kukuoa
  7. B

    Haya maombi sasa ni kero

    wewe ndo una mapepö, watu wako desperate wanataka kupóna wewe unaongea ovyo hujalazwa wewe.
  8. B

    Liverpool lose hope

    pambufu zenyu liverfool, mmepatwa na ugonjwa wa arsenalisis. kha afadhali nijibakie zangu nafasi yangu ya 4. pheeew
  9. B

    Hizi ndio sifa za wanaume 'shombeshombe' kwenye mapenzi! Wadada, kazi kwenu...

    kiukweli wengi bwana money mashombe wengi nawajua wanaishia kuharibikiwa na madawa ya kulevya, bangi, pombe ndo usiseme, alafu wengi ni vilaza shuleni. nyingine wana ubaguzi wa rangi sana.
  10. B

    Harusi ya James Ole Milya - Mei 03, 2014

    ha, nilishasema sikufanikiwa kuchukua picha, utaipata muda wowote maana naamini wanajamvi wengi walikua.
  11. B

    Harusi ya James Ole Milya - Mei 03, 2014

    Nimeleta ujinga mbona umesöa huu uzi, wewe ndo kj wa kwanza.
  12. B

    Harusi ya James Ole Milya - Mei 03, 2014

    hawezi kurudi jiziemu, ila viongozi wa ccm wa mkoa walikuja harusini, wakakuta mziki wa wageni wakimshangilia Freeman mbowe, ndugu yangu ccm Arusha ni marehemu wa siku nyingi.
  13. B

    Harusi ya James Ole Milya - Mei 03, 2014

    sitaki kuongea sana mimi ni mkazi wa arusha, sijawahi kusikia hizo tuhuma, ila naona hizo political hatres.
  14. B

    Harusi ya James Ole Milya - Mei 03, 2014

    mnafiki wa kwanza wewe najua wataendelea kuja, alikvapeli nini.,.,,
Back
Top Bottom