Yaani we jamaa ndio ulipaswa kuwa segerea kwa uchochezi sio kina Ponda. Maana ulichokiandika hapa maana yake hata mchele na viazi vya mbeya navyo wavigomee visije Dar. Je,na vinavyozalishwa Dar navyo wakigoma kuvileta mikoani unadhani nini kitazaliwa?
Mi sijaona hapo uwiano wa iyo picha ya gari na uwepo wake bar. Kwanza kama mtu unajua kabisa muonekano na aina ya iyo picha,mpigaji umeipiga kwa wasi wasi na kwa haraka na hii ni uthibitisho kabisa ya kuwa gari ilikua kwenye motion. Alafu hata iyo parking ni ya bar unataka kutushawishi vp ya...
Shame on us men... Unaacha mkeo ndani mjamzito unaenda kuendekeza tamaa za mwili wakati ndio ilibidi uwe karibu nae kwa kipindi icho kukuza na kuimalisha mapenzi ndani ya ndoa? Haya umeendekeza tamaa na umepata nn sasa zaidi ya aibu? Hata uko kwa wazazi itabidi uweke wazi,ushapata jina la malaya...
Jaribu kuwa mtembeleaji mzuri wa websites zenye matangazo ya kazi kama zoomtanzania na nyinginezo,Nina imani utafanikiwa mkuu. Mi pia zimenitoa izo website
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.