Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,831
Achana nae ujiunge na chaputa.
chawaputa ndo mpango mzima
unajisevia tu... sijui akina amber roze....akina biyons....nana..na...wote unachapa!
mazima
Achana nae ujiunge na chaputa.
"Wot goz araund kams araund"think umenielewa...seriously kaka LAZIMA UTAKUWA UNAMEGEWA whether u like or not...huyo bbe ana hasira so amejiamulia kufanya yake pia...take care .bro...UNAPIGIWA...na vijana wa saiv wanavyopenda "T~go"
Mhhhhhhhhhhh! Samaki kasusia chambo!!!!!!!
Cha kufanya ni kuanza kumvua UPYAAAAAAAA mkeo! Usizani kikao kimoja au 2 vitamaliza utata na machungu yake!
The easy way! (Kiss her A.)
Show her your remorse, sho her you have changed sio kw maneno tu. Eventually she will start to trust you again.
The Hard Way (Make her jelousy)
Tell her 1 last time your sorry na umeshamuomba msamaha mwaka. Na wewe bado kijana mdogo, hutaki kufa na pressure, and the way you see it kuwa yeye kakuchoka na huwezi kuishi kutegemea huruma yake ilhali hujui atakusamee lini. Enough is enough you are sorry 1000 times ila LIFE HAS TO GO ON! Wewe binafsi kuanzia kesho yake YOU WILL MOVE ON WITH YOUR LIFE WITH OR WITHOUT HER!!!!!!! Kama kumuoba msama Mola anajua umemuomba mwaka mzima. She left you no choice. Kesho unarudi asubuhi!, unaendelea kama hayupo!
EITHER WAY WHAT YOU DID TO HER WAS WRONG!
Habari zenu wana-JF, bila shaka mu wazima wa afya. Nimekuja mbele yenu wanajamii wenzangu nipate ushauri kwani naamini mbele yenu great thinkers haritaharibika jambo, Nisiwachoshe sana ni hivi;
Mimi nimeoa na nina mtoto mmoja, ndoa yangu ina miaka miwili mpaka sasa. Wakati wa uchumba mimi na huyu ambaye ni mke wangu kwa sasa tulipendana sana, haswa kwa upande wake kwani alikuwa akija kwangu na kunifanyia yote ambayo responsible wife anatakiwa afanye. Hata pale nilipomuoa hali ilikuwa hivyohivyo alikuwa akihakikisha napata cha afya walau mzunguko mmoja asubuhi kabla ya kwenda kazini.
Sijui ni vipi nilijichanganya nikaanza ku-date na mwanamke mwingine pembeni ingawa nakiri bado nilikuwa nikimpenda sana mke wangu kipenzi. Nilikua nikifanya jambo hili kwa siri sana. Hapa mke wangu alikuwa mjamzito karibu kujifungua hivyo alienda kujifungulia kwa mama mkwe (mama yake mzazi) hii ilinizidishia nafasi kujivinjari na small house yangu. Kama ilivyo ada dunia haina siri jambo hili lilimfikia mke wangu lakini nilijitahidi sana kukana.
Alipojifungua alirudi nyumbani, kusema kweli kipindi hiki nilikuwa mkali sana kila alipokuwa akigusa simu yangu, na ikafika kipindi akagundua ukweli baada ya kufuma sms za mapenzi za small house wangu. Kwa kweli tangu agundue jambo hilo alikasirika sana na kuanzia siku hiyo amekua akininyima unyumba, Nimeachana na huyu hawala for the sake of my marriage lakini mke wangu mpaka leo hataki kunisamehe hili jambo tunalala mzungu wa nne, kila nilimuomba unyumba ananimbia niende kwa hawara wangu.
Bado nampenda sana mke wangu, Vitu vyote anafanya kama mke ila swala la unyumba ni mwaka sasa sijawahi pata na huwa ananiambia nikizidi kumlazimisha atarudi kwao (kuna kipindi kweli alirudi akakaa kama mwezi hivi na akarudi baada ya mimi kumbembeleza sana) ubaya zaidi mama yake yupo upande wake.
Wanajamii naomba ushauri wenu nifanyeje nirudishe upendo wake kwangu na aniamini tena, nampenda sana mama mtoto wangu na,nimemmiss kweli. Natanguliza shukrani na samahani kwa kuwachosha kwa thread ndefu.
Achana nae ujiunge na chaputa.
we acha kumdanganya mwenzio unaposema haiwezekani kukaa bila kufanya hilo tendo kwa muda huo siyo kwa wote ila kwa wewe na wenzio mbona yeye mwenyewe amekiri ameachana na nyumba ndogo inamaana amefanya tangu muda gani?
Uko sawa kabisa sister,shame on us men hii mbaya sana japo watu wanaichukulia rahisi,hakuna kitu kibaya kama kuchezea hisia za mwenzako.. Mbaya sana..Am so disappointed na nyinyi wanaume what the hell r u thinking guys?? Yan unalala nje while I'm pregnant i swear utaitafuta msamaha wangu hadi uchoke. Mnahangaika nje kwa tamaa zenu za kipumbavu and u bring shit diseases kwenye familia. Wewe ni muuaji mkubwa. Once a cheater always u will be naamini mtu kucheat mara ya kwanza ni ngumu sana ila kurudia rahisi. Umeyapunguza mapenzi kwa mkeo kwa kiwango kikubwa umelitia ndoa yako. Lemme be honest with she will never trust u completely again and she will always be the victim coz ataishi bila kukuamini coz ur broke her heart. Hivi ingekuwa amefanya yeye je?? Ungechukua uamuzi gani?? Ingekuwa siku nyingi ndoa imeshakufa. Think before u act and always sorry is a sorry word. Am speechless with wanaume
Ngoma tulipima tupo fiti, mkuu kuna uwezekano huo kweli..unanipa pressure ndugu.