Hapa najiuliza kitu ila jibu lake silipati, ikiwa hao wanafunzi angewaacha yaani asipitishe msako siku ile and let say kuna jambo baya limewapata usiku huo hapo kibandani walikokuwa hao wanafunzi asubuhi angelaumiwa nani?
Kama si yeye kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya kijiji ila kwa kuwa...
Nakumbuka kipindi cha nyuma kama si huyu Rasi Buhari atakuwa Goodlick Jonathan, ilimulazimu kuhaisha mpaka kambi ya jeshi kutoka Abuja kwenda huko maiduguli ambako ndo ngome kuu ya waasi ila bado nasikitika bado kusikia wakazi wa eneo lile bado wanasumbuliwa na hawa wauwaji😰
Mungu awazidishie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.