Recent content by baba nanihii

  1. baba nanihii

    JamiiForums Tanzania Kumbe watu mnafaidi namna hii

    Kacheze ulikokua unacheza
  2. baba nanihii

    JamiiForums Tanzania Natafuta shamba la kukodi morogoro kwaajiri ya kufuga

    ingekua upo tayari Kwa km zozote ningekukaribisha Mlimba au Turiani,, kote Nina mashamba. ushauri mwepesi. Nenda vijiji vya mikese ambavyo viko km sita hadi kumi kutoka barabarani, onana na mwenyekiti wa Kijiji mueleze shida yako, uwe tayari kuandikishiana na kukabidhi copy za Id zakp Kwa...
  3. baba nanihii

    JamiiForums Tanzania Natafuta shamba la kukodi morogoro kwaajiri ya kufuga

    unataka morogoro wilaya gani?
  4. baba nanihii

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuaje Baba miaka 30 unahangaika kwenye nyumba za upangaji?

    Form 6 mmerudi mtaani mnaanza kelele. unakula na kulala Kwa Shemeji yako unaona kaka zako mafala
  5. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siri ya Mtungi ni miongoni mwa Tamthilia bora kabisa kuwahi kutengenezwa Tanzania

    Kwenye Siri ya mtungi cha kwetu ni wasanii, location na lugha vingine vyote vililetwa na wadhamini kuanzia story, directors lugha and a lot about the movie. Ila kubwa kuliko yote ni fungu la pesa kama tukiendelea kupamba na ramata wa jua kali viwango vya Siri ya mtungi tutafikia
  6. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    Hii ya portion ya leo ni Konyagi kavu
  7. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    Mshua: "Nani kakupa hiyo haki? Nisikilize bwana mdogo, wewe na yeye msingejuana bila Mimi kuwaunganisha. Sasa usijifanye unamjua sana. Kuanzia leo ukitaka kuwasiliana na mke wangu pitisha ujumbe kwangu. Sasa ole wako nikute umempigia simu, tena ikiwezekana na namba yake futa kabisa. Utaisave...
  8. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Itoshe kwa kusema hivi 👇 Newton's First Law of Motion states that a body at rest will remain at rest unless an outside force acts on it, and a body in motion at a constant velocity will remain in motion in a straight line unless acted upon by an outside force.
  9. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mwamba katuwakilisha vyema kabisa, Hii week imekua njema huku INSIDER MAN na Mary kule Analyse aka apostle na Katrina
  10. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    Ila Katrina Dah!!!!
  11. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    Analyse Penzi kitovu cha uzembe
  12. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    Nilivyosikia habari za hela, kidogo jazba ikashuka. Maana nilikuwa nimepigika sana.
  13. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    : "Nimesema bila Moga musije, hakikisha unamupata. Kama hayupo kwake, kamucheki gereji kwa White pale. Ukimukosa njoo na Pati""
  14. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    Kwanza kuoga sio lazima, aache tu
  15. baba nanihii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Wewe mwenyewe ndio my favorite. Hata kama Kuna sehemu kibao ulikua unauma-nje you ware still my favorite. Mostly ni vile unaisaka pesa na uko serious on it hata hujaonyesha dalili za kuwa ngoswe baada ya warimbwende kufanya bidii ya kukukimbilia na umenifunza sana hapo , ulinunua Bajaj...
Back
Top Bottom