Wanaondoka hivyo hivyo, Asilimia kubwa ya Watanzania Ambao wapo South ni wavuta bangi na mateja. Ni watu Ambao tunaishi nao mitaani tunawajua na tumewaona wakiondoka, hasa hasa vijana wa kwetu huku Tanga.
Ndio ila pia unaweza ukabadili ulichopangiwa, kwenye uisilamu mambo kama haya yanabadili qadar
-kuomba Dua
-kutoa sadaka
-kuwa mwema na tabia nzuri
-kuboresha undugu na ndugu zako etc.
Unaweza ukamuomba mungu akupe mke mwema, utajiri, na mambo mengine, Dua yako ikikubaliwa Ina maana na qadar...
Proof ya nilivyosema
1. Mwarabu kuwepo uchagani
Soma history ya chagga state hapo, defacto currency ya chagga land ni Rupia ya Zanzibar kabla ya 1914 ilivyohamia kuwa shilingi, kabla ya Berlin conference State nyingi za Tanganyika zilikua Chini ya Sultan, ambaye aliwapa connection za kufanya...
Kenya ipi? Hii ambayo tumeshaipita kwenye Export za Intra Africa na Raisi wao kukiri?
https://www.the-star.co.ke/news/realtime/2024-11-30-ruto-hails-tanzania-for-taking-lead-in-trading-in-east-africa
Hii ambayo ilikua inatusumbua kuhusu Utalii lakini sasa hivi tumewapita...
Achana na mambo ya 1975 naongelea sasa hivi Mafuta yanaingiza hela nyingi sana Angola, wanaingiza roughly $30B toka mafuta tu, hio hela inazidi mapato yetu ya Serikali Tanzania yote combined, na wao wapo wachache, ni level za Hela wanazopata Nchi kama Oman, na ni zaidi ya Nchi za Kiarabu za...
Bilionea wa 4B usd ndio tajiri mkubwa zaidi mabilionea wote 7 net worth Yao ni around $17B wakiwa na GDP 336B, so roughly mabilionea wote ni kama 5% ya GDP.
For comparison mabilionea wa Usa utajiri ni zaidi ya Trilioni 9 usd na GDP kama Trilioni 30 so watu wachache wanamiliki almost Asilimia...
Nimetoa mfano nchi za Nordic hapo, there was a time Finland walikua na kampuni kubwa zaidi ya Simu kwa maana Nokia, walitengeneza na software kubwa zaidi ambayo inatumika kote Duniani Linux, walikua na mambo kibao, Uchumi wao ni diversified ila hawakuwa na mabilionea wengi na income inequality...
It's like this, royal family wanamiliki nchi wanaweza wakatumia hela wanavyotaka ila hawazimiliki hizo hela, Kesho Salman akifa mwanae harithi Mali zake, bado zinaendelea vile vile kuwa Mali ya royal famili. Na Baadhi ya Nchi za Gulf unakuta Royal family ni karibia nchi nzima. Mfano Qatar Royal...
Mostly mifumo inasaidia, mfano kwa USA kuongeza Utajiri ukiwa tayari ni Tajiri ni rahisi ndio maana unaona matajiri wengi wa USA Asili Yao sio pale wamehamia. Sheria ina matobo mengi inamfanya Tajiri asilipe income tax.
Ila Ulaya ni Vice versa Nchi nyingi zenye maisha mazuri Kodi ni kubwa...
Kuwa tajiri sio sifa, Nchi nyingi zenye Mabilionea wengi ndio hizo hizo zina umasikini wa Kutupwa,
Usa, China na India zinaongoza Duniani kwa Mabilionea ila pia zina umasikini na income inequality kubwa, sehemu kama India ndio usiseme afadhali hao wengine.
Nchi kama Norway, Finland Nchi za...
Vitabu vinaandikwa na waandishi, ila elimu inatoka sehemu mbalimbali duniani,
Kitabu kama kitabu kwa miaka mingi kinatumia karatasi, karatasi ambayo imegunduliwa china miaka kama 2000 iliopita.
Kabla ya hapo wazungu walitumia Ngozi za wanyama, ili uandike ABCD inabisi ng'ombe ama Mbuzi...
Sijasema ukosoaji wa Pwani ni wa staha, nimesema watu wanaokubalika pwani ni wakosoaji wa staha, Zitto, Lissu na wengineo sio watu wa Pwani ila wanakubalika kutokana na wanavyoweka hoja zao.
Pia si kweli watekaji wa Znz ni watu toka huku, Uchaguzi wa wakati wa Magu ni kikosi maalum toka...
As I said kwenye comments zangu zilizopita sina Tatizo na Lissu na nafahamu mchango wake mkubwa tu sio hao wa Magaidi Bali hata kwa Wapemba na Muungano kwa ujumla,
Lema tu sio mara moja anatoa kauli tata, na hawa wa humu JF sio Tu members ni makada na humu ndani ndio unapata kumjua mtu vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.