Recent content by baba-mwajuma

  1. B

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Kwani blockade ya USA ipo Iran ama maji ya mbali huko? Ingekua Iran Hana Nguvu basi hizo Meli za USA zingeenda kufungua Hormuz pale. Pia wengi humu hata Ramani ya Iran hawajui ipoje Tofauti na Reli ambayo umeambiwa huku juu kuhusu Iran, wanayo pia Caspian sea inayounganisha Urusi Na Iran...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje parachichi tunauziwa bei kubwa hivi?

    Long story short wakulima Wana masoko sasa hivi, Matunda mengi Tanzania yanauzwa nje, si Tu maparachichi Machenza, Maembe, Mapeas, zabibu etc watu wananunua mashambani huko hata Mjini hayaji, Mjini sasa hivi tunakula Matunda ya South Africa.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Kwenye mageti kama Umbwe na vijiji vya karibu kuna watu wengi Tu wanaishi, na baridi maeneo hayo ni single digit centigrade, hatuna Tu vifaa vya kisasa vya kupimia Ila zipo data za zamani zinaonesha maeneo ya Kilimanjaro (sio Mlima) joto linafika -2 °C, Iringa lowest recorderd ni 0. Na hivi...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Eneo lenye baridi Tanzania with facts ni Mlima Kilimanjaro ambao unafika Hadi -27 degree, Ukitoa Mlima Kilimanjaro Eneo ambalo limewahi kurekodiwa joto dogo zaidi ni Uporoto Mbeya -6 degree. Huko kwengine kote ambao wachangiaji wanakusema kama Njombe, makete etc kuna baridi za kawaida kama...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ukipata nafasi ya kukimbia Africa kimbia mbio zako zote

    Comprehension ni janga la Taifa, Ingekua hao wamorocco wanakimbilia Mali, Tunisia, Burundi ungekua na Haki kunitag kunisahihisha nilichoongea sio sahihi. Ila wamorocco kwenda Ulaya hakujaanza Leo wala Jana na sijaclaim popote kwamba Morocco Wana hela kuliko Spain ama Belgium, Netherlands etc...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    We jamaa ni certified liar, Kwenye huo Uzi wa CNN niliokuwekea naweka screenshot Unatufanya humu ndani kama hatujui kusoma na kuandika, pande zote mbili zilikua zina jam. Halafu wewe huko juu uliclaim USA anaweza Akajam satellite na drone za Iran zikawa hazifanyi KAZI, sasa hivi ghafla...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    We jamaa sijui ulikua Giza gani, Marekani alizima GPS zote Hadi watu walikua wakitumia Google Map zinaonesha wrong location ila haikusaidia kumzuia Iran, Habari zilitred Dunia nzima, Leo hii unakuja kuisema Marekani anaweza kufanya hivyo. Simple Google search unapata jibu Ila umeamua kuja...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Biashara Kwanza, then problems zitakazotokea mzunguko wa hela utaleta vumbuzi. Hata hapa kwetu kuna innovations nyingi Sana kwenye hela kuanzia ujenzi, Kilimo, Afya, Elimu etc
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Jamii, na jamii yenye Njaa na inayopata kidogo kwa ajili ya kuishi haiwezi kuvumbua leading edge node ya semiconductor.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Watu Weusi pia wanavumbua vitu sema Tu huna time ya kuwajua, Wavumbuzii wake sio wengi mostly sababu zas kiuchumi, siku hizi sayansi ni hela. Pia Rushwa, culture na mengineyo huchangia.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Tatizo lako sio huelewi Bali Hutaki kuelewa, Wadau wote wanachochambua huko juu hakipingani na unachosema ila Ile point ndio huelewi. Chukua mfano reaper drone, Gharama yake ni $30M na total package inaweza fika 50M ama zaidi. Hata ukiweka budget 10B USD ya drone ya Aina moja Tu unapata...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Unatamani kuingia mbingu ipi? Firdaus au paradiso ya milele?

    Kwenye Uisilamu Peponi na mbinguni ni vitu viwili Tofauti. Mfano hapa Duniani tayari ni mbingu (think of it like dimension) universe zote ni mbingu ya Kwanza, then kuna mbingu 7, then baada ya Mbingu kuna Arsh, Peponi, motoni, etc.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Imeelezea vizuri labda kama hajaelewa. Vita vya drone vimemfanya Marekani kushindwa kutumia Nguvu yake ya kijeshi, na vimebadili kabisa taswira ya vita. Mfano vita ya Iraq Sniper walikua ni Muhimu Sana na walisifika na kuwa hyped Sana, sasa hivi ukiwa sniper wenzako wanakutumia Tu kidrone...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Si walikua wanapata Ruzuku? Ama umesahau Chadema walikua na wabunge wengi?
  15. B

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Soma comment hio hapo juu https://www.jamiiforums.com/threads/marekani-yafikwa-na-upungufu-mkubwa-wa-silaha.2457197/post-56526930
Back
Top Bottom