Tanga beach Yenyewe Hotel ya juzi Tu hapa, ukiona MTU anasema Tanga Beach ndio hotel kubwa Tanga ujue hana analojua.
1. Hotel kubwa Kabisa Tanga na kongwe miaka nenda miaka rudi ni Mkonge Hotel sio Tanga beach, ina vyumba na service za kisasa kabisa.
2. Ukitoa Mkonge kuna Hotel Nyingi mno...
We umezoea propaganda sasa,
https://tanzaniatimes.net/kenya-and-tanzania-maintain-lower-middle-income-status-in-the-latest-world-bank-group-classification/
Kila mwaka Report ya world bank inaonesha Sisi ni uchumi wa Kati, sababu haiimbiwi mapambio haimaanishi hatupo.
Tanzania tumeingia uchumi wa Kati mwaka 2014 wakati wa Kikwete, tukatoka, then tukaingia tena wakati wa Magu, tukatoka na sasa tupo tena uchumi wa Kati.
Uchumi wa Kati kwa sasa ni uwe na GDP per capita 1136, Sisi sasa hivi GDP per capita ni 1362 so tupo Uchumi wa Kati sasa hivi,
Seems hesabu na uchumi vimekukalia kushoto, kukutafunia.
Huo Ukuaji wa Asilimia 6 ni uchumi aliorithi Magu toka Kikwete, Nchi nyingi zenye Uchumi unaokua Wana Average 6-7, Kikwete alikua anafika hio Asilimia 7,
Alivyorithi uchumi wa Asilimia 6 Ukuaji slowly akaanza kuuchezea ndio unaona...
Rostam source ya pesa zake ni Huko huko Magharibi, ni MTU wa mwisho ambaye ataguswa na vikwazo, USA unafkiri ataiwekea vikwazo Barrick ama Petra Diamonds?
-2016 ni 6.9%
-2017 ni 6.7%
-2018 ni 5.5%
-2019 ni 5.8%
-2020 ni 2%
So consistently Ukuaji wa Uchumi ulikua unashuka for the exception ya 2018 kwenda 19 na mpaka mwaka wake wa mwisho wa utawala 2020 ikadrop Hadi 2%, nakuhakikishia si Mkapa, si Kikwete wala si Samia amewahi kuwa na Ukuaji mdogo...
Kenya wazee wa Ku inflate data Tu, yashaongelewa Sana humu, Wana count na kuinflate kila kitu, mfano GDP Yao moja ya contribution kubwa ni Bodaboda ina contribute Asilimia 4.4, for comparison hio digital na technology unayoisifia ni Asilimia around 7, na Asilimia kubwa ya hio 7 inatoka kwenye...
Sisi ni vilaza Sana, Magu ana mazuri yake unaweza kumsifia, Ila uchumi alifeli vibaya mno, Mama ana mabaya yake ila Uchumi yupo vizuri mno.
Wakati wa Magu tulikua tayari kwenye diminishing, tupo point ya increasing at decreasing rate, uchumi ulipungua Kasi ya Ukuaji.
Sasa hivi uchumi wetu...
Samsung ni semiconductor company, bidhaa zao zote zina revolve around that, processor, display, ram etc hakuna chochote cha maana Wanachotengeneza ambacho haki revolve around semiconductor. Kama huamini Google mwenyewe upate information achana na stori za vijiweni.
Samsung na Sky Hynx ndio watengeneza Memory wakubwa Duniani, Nani ananunua hizo memory? Apple, HP, Nvidia, Dell na wengineo wa Taiwan. LG na Samsung Nani ananunua Display zao? Hao hao USA, Automotive Wana export kwa Nani zaidi hao hao North America.
Hizo kampuni zao zimekuwa wired kuto exist...
Umesoma Uzi lakini? South Korea ni Samsung, Sky Hynx na LG, maybe kwa mbali Hyundai,
Hakuna kampuni nyengine ambayo inafika 10% ya Samsung hapo Korea,
Total hizo kampuni 4 nilizokutajia juu zina amount 40% ya Export GDP.
Hivyo vikampuni vidogo vidogo pia zinategemea Sana hayo mapapa...
Sasa kama Nchi nzima inategemea kampuni chache Ku survive, na hizo kampuni Asilimia kubwa zinategemea zikauze Marekani hahitaji hata kuwagusa, akikata mirija kwake Tu hawana tena ubavu wa Ku compete, unlike Nchi kama Japan, China etc Korea Wana uwezo mdogo Sana wa kujiamulia.
Mbona sasa hivi wameshuka Sana hawafiki tena hio 29% kwenye peak yao walikua karibia nusu ya Uchumi wa Korea, sasa hivi kuna Makampuni makubwa mengi kama Sky Hynx, LG na wengineo.
Long story short Uchumi wa Korea umekaa kimachale Sana, siku Marekani akiamka vibaya akisema Korea unarudi Zama za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.