Recent content by baba-mwajuma

  1. B

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ego, Trump inamuuma Sana Hormuz kufungwa, Leo imekuwa siku mbaya sana toka Vita vianze soko la Hisa Marekani, as Of now kiujumla Dola Trillion 3.5 zimepotea. So anataka achukue kisiwa hata siku 1 aanze kuongea uongo wake na namna alivyowashinda Iran.
  2. B

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    That's true kwa Nchi yoyote Duniani Ukitoa USA, Mrusi na China. Hata Ukraine anapewa Satelite na Usa, Vita vya Congo na Rwanda wanapewa, Sudan na kwengineko.
  3. B

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Kwamba kila ukipita njiani unao kutana nao Barabarani watu wawili mmoja anajichubua, si kweli. I bet kuna watu wengi Nchi hii ambao hajawahi hata kupaka lotion ama kipodozi chochote kuliko ambao wamepaka.
  4. B

    Anayejua haya matunda ya Shokishoki yana maajabu gani mbona zinauzwa bei juu hivi?

    Mostly za misaada na low quality ndio bei hio, Tende za South Africa nzuri kimkebe kidogo unapata Tu kichana ni 10,000. Same kwa Tende za Egpty ama Arabuni kwa ujumla, Tende zipo aina nyingi mno, nenda shoppers ama Kariakoo Maduka wanayoleta matunda ya South ama Egpty utaona varieties nyingi...
  5. B

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Kwamba kila watu wawili Tanzania mmoja anajichubua? Source tuwekee.
  6. B

    Anayejua haya matunda ya Shokishoki yana maajabu gani mbona zinauzwa bei juu hivi?

    Tende zina bei kushinda hayo mashokshok, tende tunazokula Sisi za msaada ndio bei rahisi Ila Tende kavu nyingi zina bei ndefu, usual ni 20,000 ama zaidi kwa kilo na kilo ya tende ni kidogo sababu ni nzito.
  7. B

    Anayejua haya matunda ya Shokishoki yana maajabu gani mbona zinauzwa bei juu hivi?

    Bei y kawaida mbona hio, ulizia Mangosteen (mengostini) kipisi kimoja Tu wanauza 4000-5000
  8. B

    USA na mkakati kuidhoofisha nchi za Gulf kupitia Iran

    Pumba, Nchi za Gulf ndio wawekezaji wakubwa Usa, Leo hii Una simu, laptop, graphics card etc sababu hao waarabu wakiuza mafuta wanawekeza Ulaya na Marekani, hizo hela zao ndio zinazipa Afya kampuni za west. Uchumi wa Gulf ukifa directly unaathiri uchumi wa Usa, Wamepigwa kidogo Tu waarabu...
  9. B

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Video ya Live ikidondoshwa. Vyombo vingi vya habari vime report Israel na USA wameishiwa na precise missiles, wanatumia mabomu ya kizamani, so inabidi wasogee karibu, ndio maana sasa hivi kila saa unaskia Ndege imeliwa kichwa. Kuna mabomu toka ya miaka ya 70 yalitakiwa yatumike Egpty anapigwa...
  10. B

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwamba Iran ana tech ya Hali ya juu kutengeneza mAlaki ya missile na Drones ila Hana tech ya kutengeneza launcher kwa wingi? Kiasi kwamba ikilipuliwa moja basi Hana nyengine?
  11. B

    Magari ya umeme ya China yaingia barabarani Tanzania huku magari ya nishati safi yakishika kasi

    Hio ni theory mi nakuambia practical as someone ambaye Nina wafanyabiashara wenzangu na ndugu zangu wanaomiliki multiple Electric vehicles. Vifaa vya umeme vinavyotumia battery vina circle, MTU anaweza kupa warranty ya miaka 10 Ila read between lines kuna circle za battery na ukizitumia...
  12. B

    Magari ya umeme ya China yaingia barabarani Tanzania huku magari ya nishati safi yakishika kasi

    Jiandae pia na gharama ya battery, pikipiki ya Kichina inauzwa milioni battery likikata nalo linauzwa laki 7 Hadi milioni, so kila miaka kadhaa unalipa bei karibia Sawa na ulionunulia kifaa. Kabla haujanunua kifaa chochote cha umeme ulizia spea Kwanza gharama zake.
  13. B

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Ubishi wa kitoto pengine sitaendelea kukujibu. Ayatollah hakujificha Bali ameuliwa nyumbani kwake, na nyumbani kwake Hana bunker wala ulinzi wowote, anaishi maisha ya kimasikini kama masikini wengine, same kwa hao viongozi wengine, loyality hainunuliwi Bali huja kwa matendo yako, mpaka ukiona...
  14. B

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    So wanakiri vita vilivyopita ni movie Tu hawakulipua chochote.
  15. B

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Kuongezea mkuu Wakurdi wa Iran wamekataa, wamesema wao sio mercenary, wamesalitiwa na USA before na hawatakubali now. Waliopigwa ni Wakurdi wa Iraq ambao wengi wanaishi kambi za USA.
Back
Top Bottom