Dawa ya tatizo ni kulitatua siyo kukimbia umeona Kenya wiki inaenda ya tano walimu wamegoma mpaka shule za government zimefungwa kwahyo hata Tanzania walimu wakiamua wanaweza hakuna kisichowezekana chini ya jua
Mmmmh unafkiri kwanini mzee pale juu picha ya kwanza amenuna?anajua kuwa kuna tatizo naona nywele nyeupe anaanza kumsogelea jamaa ili kuangalia upepo kama atawekwa kwenye majina ya wagombea duh ama kazi kwelikweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.