Recent content by baba latifa

  1. B

    KOVA: Kapuya hana kosa la kuhojiwa ni mambo yake binafsi

    Na wewe ni wale wale tu!!
  2. B

    KOVA: Kapuya hana kosa la kuhojiwa ni mambo yake binafsi

    Haki ya mnyonge ziku zote haipatikani duniani!! Huyo muheshimiwa ana kesi ya kujibu kwa mungu wake!! Na kuanzia tuhuma hizi wala hana muda mrefu!!!
  3. B

    HAKaTWI MTU HAPA=mkono wa sweta

    We mwenyewe hunalo ninavyohisi!!!
  4. B

    Maiti Akutwa na Kete 65 za dawa za Kulevya mkoani Mbeya...

    Tumrudie mungu jamani, naona kila mtu anaponda madawa lakini yakifika ndo watumiaji wakubwa!!!
  5. B

    Nahitaji ushauri: Nimechoka kukaa ukweni

    Mi nahisi umeolewa, ilo la kuwa umeoa siliamini saana!!!
  6. B

    Namtafuta rafiki yangu

    Kikubwa sio kuoa au kuolewa, kwani mi mbona nina mke na watoto wawili? Kikubwa ni kumkumbuka kama rafiki yangu tu!!!!
  7. B

    Namtafuta rafiki yangu

    Nilipotezana na rafiki yangu tangia mwaka 2002, anaitwa HABIBA AHMAD NACHILANGA, tulisoma wote tunduru ya leo nachingwea, baadae ye alisoma nachingwea day, baada ya hapo nasikia alienda jkt ruvu. Juhudi zangu za kumtafuta hazijazaa matunda!! Mtu yeyote ambaye amewahi kumuona au kukutana naye...
  8. B

    Laptop inauzwa

    Ni HP 6530b Ram 2 Gb Hard disk 150GB Prosessor 1.80Ghz System type 32 bit OS Window7 professional Bei 300,000 iko katika hali nzuri!!!
  9. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu wa sekondari aliye tayari kufanya kazi kigoma wilaya ya kibondo, tuwasiliane hasa kutoka maeneo ya dodoma, morogoro na dar. 0653757381
  10. B

    Makabila mengine nayo wanaweza katerero?

    Dah full knowledge!!!!!
  11. B

    Kwa wakubwa tu:- Anataka nivimbiwe ili nisidoee kwa watu

    Dawa ndogo tu! tuwasiliane kaka!!
  12. B

    Kwanini funguo za gari zipo mkononi muda wote?

    Mashetani ya kichina yale!!!!!
  13. B

    Sijui kama tutabaki

    ajali kija siku? mmh! tunakwisha!!!
Back
Top Bottom