Nilipotezana na rafiki yangu tangia mwaka 2002, anaitwa HABIBA AHMAD NACHILANGA, tulisoma wote tunduru ya leo nachingwea, baadae ye alisoma nachingwea day, baada ya hapo nasikia alienda jkt ruvu. Juhudi zangu za kumtafuta hazijazaa matunda!! Mtu yeyote ambaye amewahi kumuona au kukutana naye...