Recent content by Baba Kundambanda

  1. Baba Kundambanda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namna ya kumpa mimba mwanamke alieshindwa kuzaa

    we bora ujiite "Mzee likochopwike" kuliko kujiita CONSTRUCTIVE THOUGHT
  2. Baba Kundambanda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukitaka uone dunia chungu, mpe mimba msichana usiempenda

    Umenichekesha ile mbaya, umetumbuliwa jipu na huku umempa mtu jipu, kazi unayo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. Baba Kundambanda

    JamiiForums Tanzania Leo nayatoa ya moyoni

    Kumbe kujua kusoma nako raha. Yangenipita haya kama nisingepitia ngumbalu.
  4. Baba Kundambanda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeamua kuacha kujichua leo nina siku ya 5, dua zenu ni muhimu

    Duh umeathirika sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  5. Baba Kundambanda

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu, Zari ndie kamuoa Diamond...

    Wewe mwenyewe hujui kuandika vizuri kiswahili, sio "kuhandika" ni "kuandika", sio "hujuhi" ni "hujui", sio "ndiho", ni "ndio" na sio "huje" na wala sio "humbeha" ni "umbea".
  6. Baba Kundambanda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

    Waeritrea wanazungumza lugha tisa ila lugha kuu ni Tigrinya na sio Amharic, Amharic ni lugha kuu ndani ya Ethiopia.
  7. Baba Kundambanda

    JamiiForums Tanzania Bifu ya Fid Q na Joh Makini

    Umenichekesha sana, wapani kweli noma.
  8. Baba Kundambanda

    JamiiForums Tanzania Dogo Mfaume (mzee wa kazi ya dukani) anateketea kwa madawa ya kulevya

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
  9. Baba Kundambanda

    JamiiForums Tanzania Fatuma Karume: Dk. Shein amewekwa madarakani 'kinyume na utaratibu wa nchi'

    Umenichekesha sana [emoji117] kwa hiyo amelishwa uchawi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  10. Baba Kundambanda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyekeketwa na kuridhishwa kimapenzi (sex satisfaction)

    Duh! hii style ipoje, hebu tuelekeze kidogo.[emoji23] [emoji115]
  11. Baba Kundambanda

    JamiiForums Tanzania Human microchips analysis

    hayo maonyesho ya kuwekewa microchip nimeyaona kupitia tv za ujerumani. Kuna watu walijitokeza na kuwekewa katika viganja vyao vya mikono kwa juu kati ya kidole gumba na kidole cha shahada.
  12. Baba Kundambanda

    JamiiForums Tanzania Kaburi halilali njaa, ni mdomo wa kuzimu

    We ni mfanyabiashara kama wafanyabiashara wengine.
  13. Baba Kundambanda

    JamiiForums Tanzania Bakhresa food products ltd kupunguza wafanyakazi 500

    Nchi imerudi tena kwa Mwalimu
  14. Baba Kundambanda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake weupe ndiyo wanaongoza kwa kutongozwa bongo hii,ukubali,usikubali.

    umefunga mjadala Erijo big up sana.
Back
Top Bottom