Recent content by Baba Kisura

  1. Baba Kisura

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Bar, huku nahudumiwa na barmaid Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Baba Kisura

    Tanzania vs Malawi, kutoka CCM Kirumba 29/3/2015

    Kirumba vipi huko waungwana?
  3. Baba Kisura

    Tanzania vs Malawi, kutoka CCM Kirumba 29/3/2015

    Up date za Kirumba waungwana, bado tumelala?
  4. Baba Kisura

    Maoni ya wananchi kuhusu taasisi za usimamizi kama PAC, LAAC & CAG

    Tukifanikiwa kuifanya Tanzania ikaongozwa kwa misingi ya sheria na pasiwe na mtu aliye juu ya sheria, vyombo hivyo vitasaidia sana kuondosha ufisadi na kuleta uwajibikaji. Tatizo la sasa ni kuwa asilimia 90 ya wanaohusika na ufisadi ni viongozi wa juu kabisa katika umma na wao kwa kiasi kikubwa...
  5. Baba Kisura

    Msaada wa kisheria: Afisa elimu wa Bagamoyo amezuia mshahara wangu

    Inawezekana ulishafukuzwa kazi kwa kosa la utoro kazini.
  6. Baba Kisura

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Gosai, Azaiz - Hiyo Kahama - Bulungwa baba ke!
  7. Baba Kisura

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Naam! Sasa nimepata tafsiri sahihi ya nn maana ya kutelekeza iliyotajwa kama sababu ya kupelekea ndoa kuvunjika. Asante sana kwa elimu hii.
  8. Baba Kisura

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Mkonta, hii nadhani haiko kisheria. Mapenzi ama aina aina gani ya mapenzi mke na mume wanawezashiriki ni hiari yao wenyewe. Kufanya mapenzi ni moja kati ya nguzo muhimu ya ndoa, ni kufanya mapenzi kila mmoja ana aina ya mapenzi anayofurahia anapokua na mwenzi wake. Kunyonya sehemu za siri katika...
  9. Baba Kisura

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Yah! Kabla sijauliza nilipitia hii thread kdg na nikaona sababu zilizotajwa ni pamoja na uzinzi, mateso na kutelekezwa au kwa mmoja wa wanandoa kupatwa na wendawazimu na mambo hayo ni lazima yawe yamejadiliwa kwanza katika mabaraza ya usuluhishi kabla ya kudika mahakamani kwa ajili ya kudai ama...
  10. Baba Kisura

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Hello! Je inawezekana mahakama kuvunja ndoa pale inapotokea mmoja wa wanandoa amepoteza mapenzi kwa mwenzake kwa kiwango ambacho yeye hawezi kuvumilia na hakuna mtu au taasisi inayoweza kubadili mtazamo wake wa kimapenzi kwa mwenzie? Otherwise nipe sababu za msingi za kisheria zinazoweza...
  11. Baba Kisura

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Mi sijatukanwa bado. Ni ya ukweli kuhusu Nyerere yamesemwa. Nadhani ni bora Lissu akapingwa kwa kuleta hoja za kweli na sahihi kuliko kumshambulia Lissu kwa maneno bila facts.
  12. Baba Kisura

    Muhidin Gurumo (aliyekuwa Msondo Ngoma) afariki dunia!

    R.I.P Gurumo, ni pigo kubwa kwa mziki wa dansi nchini.
  13. Baba Kisura

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Nina tatizo la kutokwa na vipele pia but huja pale tu ninapotumia wembe, ila nikitumia mashine za umeme na only kupaka spirit sina shida kabisa, achana na wembe!
  14. Baba Kisura

    Mambo ya kuzingatia kwa Walimu wapya wakati wa kuripoti kazini

    Hilo la bima ya afya mnatakiwa kuwa makini. Bima ya afya ni kwa mtumishi, mwenza wake na watoto wasiozidi wanne. Usije ukapeleka za ndg au jamaa ili kujaza hizo nafasi then ikawa tabu utakapokua na familia yako.
Back
Top Bottom