Recent content by baba Joy

  1. B

    Kocha yupi ni bora kwa sasa Duniani?

    Mi nadhani Pep Gardiola na Zinedine Zidane wanaweza wakawa makocha bora kwa sasa hasa ukiangalia performance ya timu zao,
  2. B

    Laptop min bytspeed (touch screen) 250,000/=

    Naitaka hiyo Toshiba, nitumie spcfication zake, 0714821744
  3. B

    Diamond Platnumz, Haji Manara na Jerry Muro

    Hahahaha, Manara tena
  4. B

    Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

    Brevis ni gari nzuri xana kweli kama unavyosema ila ulaji wake wa mafuta ndo mkubwa kiasi, xo ni gari ambayo ukiwa nayo usiwe mtumishi wa serikali wa kusubiria mshahara mpka mwisho wa mwezi, utaipk uwani
  5. B

    Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

    Wewe kama hupendi bac pole wengine tumeenjoy xana
  6. B

    Nauza TECNO W4 Tshs. 150,000/

    Unauza bei gani
  7. B

    Nauza TECNO W4 Tshs. 150,000/

    Mi ninaitaka sana ila nina laki moja kamili, nichk 0714821744,
  8. B

    Prof. Muhongo: TANESCO haiwezi kulipa madeni kwa kupandisha bei ya umeme

    Kama Waziri asingeweza kuchukua hatua kwa taarifa za kusikia, alisubiri aletewe taarifa rasmi ofisini lakini mkurugenzi hakufanya hivyo,
  9. B

    Wanawake wakati mwingine, hapana jamani!

    Usiwe na shaka kaka, Tajiri hanuniwi, atakuja tu
  10. B

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Pole xana, usikate tamaa kiiivyo
  11. B

    Mchepuko wangu umepata mimba kabla ya mke wangu wa ndoa, nifanyeje?

    Huyo mchepuko anataka akubambikie tu, tulia na mkeo
  12. B

    Ni kweli sisi ni "CCM B"

    Mbona kila siku mnamsakama Zito, kumbe na nyie mmo
  13. B

    UKAWA wavunja ndoa yangu

    Achana nae, mapenzi yenu na vyama wapi na wapi
Back
Top Bottom