Basi unamanisha tuwe tunatongoza tunaowafahamu tu
Ama nimechanganywa na bombardier kutaka kuuzwa maana kama naowajua tabia chafu bora ata wewe nisiekujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka nikiwa mdogo, mwalimu wangu wa shule ya msingi aliniaminisha kuwa chenge ni MTU safi
Nikiwa darasa la tatu tulipata ugeni wa mheshimiwa Chenge tulimtungia nyimbo na kuimba mbele zake mfano wa wimbo "
Karibu baba mh chenge ,mwanasheria mkuu wa serikali yetu, kwa watanzania nani asiye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.