Recent content by Baba Jan

  1. B

    Sioni bajeti ya maji ikipita kesho!

    We jidanganye tu
  2. B

    Anatafuta nini kwenye simu yangu?

    Mwache aendelee tu kuchakura chakura, atakipata anachokitaka alafu atatulia
  3. B

    Ni kweli nina mtafuta ila anatakiwa awe na sifa hizi:

    Bro ungelegeza masharti 4 na 5 ungepata uwanja mpana sana na ungetengeneza familia nzuri sana. Wishing you lucky lakini
  4. B

    Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

    We jidanganye tu. Kupeana hurutubisha mahusiano kwa kiasi kikubwa sana. Msikremu mambo jamani, mnaharibu sana kama hamjui
  5. B

    Jambo

    Ndio...
  6. B

    Kabila GANI Huyu?

    Ila wanawake mna kazi! Huyu nae huwa anampiga denda mpenziwe?
  7. B

    Botswana wageni waondoka kwa wingi

    Leo ndio mmegundua kuwa mnatakiwa kuja tujenge nchi yetu pamoja sio baada ya kutimuliwa huko? Haya njooni
  8. B

    Mwanafunzi SENGEREMA Sekondari atumbukia chooni na kufa!

    Kaka wewe umepita njia kama za kwangu! Mtu akiona post yako anaweza kujua ni mimi japo miaka inaweza kuwa inatofautiana! RIP kijana wa sengerema shule ya wanaume!
  9. B

    Juliana Shonza ni hatari kuliko tunavyodhani

    Achaneni na vya Shonza jamani, tupumzisheni bwana, imetosha sasa!
  10. B

    Mugabe atangaza nia yake ya kugombea Kwa mara ya sita kiti cha Rais!!

    Tatizo mzee anajua siku akitoka madarakani Keko ya Harare inamuita, lazima ahakikishe anafia ikulu
  11. B

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    Sasa matusi ya nini kiongozi?
Back
Top Bottom