mazingira tuliyojengewa ya kukariri masomo toka shule za awali yanachangia kwa kiasi kikubwa uandishi kuwa mbovu na hafifu, unakariri la saba, 4, 6, chuo, research unaandikiwa unanakiri, dissertation unanunua na kumeza, sidhani kama unaweza tegemea uandishi mzuri. Mtoto akiharibu kitu unapiga...