Recent content by BaBa BoGo

  1. BaBa BoGo

    Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

    Vijana wa chuo bhana, mnapenda utelezi tu , ngoja tukulele mimba yako
  2. BaBa BoGo

    Tazama jinsi Biashara ya pombe ina hela sana

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. BaBa BoGo

    Je, ni utangazaji tu au Kuna mengine nyuma pazia?

    Tafuta hela ndugu, kwo mtu asinunue gari mpaka akuonyeshe amepata wapi pesa, wewe ndo wakuchunguzwa na mamlaka husika
  4. BaBa BoGo

    Kwanini watusi wanataka kutambuliwa Tanzania?

    Hata humu jamvini wamo wengi tu
  5. BaBa BoGo

    Mtandao wa airtel utufidie hasara wateja wake

    Wanafanya mazoezi ya tarehe 24
  6. BaBa BoGo

    Nilinunua pagala Mbeya 2017 kwa shilingi 3.5M, haliuziki hadi leo

    Limalizie uhamie au upangishe [emoji16][emoji16][emoji16]
  7. BaBa BoGo

    Wataalamu wa IT, nini kinachowazuia kuanzisha freelancing website's

    Hizi kazi za IT wateja wanatupiga sana, pia wachukulia poa mpaka akumbwe na msala ndo anarudi kwa aibu kwa kifupi freelance ya IT ni very Risk ndo maana tumeamua kuwa viraka tu wengine
  8. BaBa BoGo

    Ukitoa kufuata Mkumbo, Kutumia umeme kupika ni nafuu kuliko Gas na mkaa

    Sasa ndo useme umeme ni bora kimatumizi na kiuchumi kuliko gas na mkaa, mkuu labda kama wewe ni tanesco
  9. BaBa BoGo

    Ukitoa kufuata Mkumbo, Kutumia umeme kupika ni nafuu kuliko Gas na mkaa

    Hapo babu umefeli somo la namba sikia usifananishe umeme na gesi au mkaa mfano kitaa chetu kuna mkaa wa kuanzia 700 na kuendelea ambao ukinunua wa buku hapo umepika misosi ya siku moja, gesi nayo mtungi mdogo unatoboa mwezi au siku 42 kwa wapikaji ila kwa sisi chai kwa mgahawa tunatoboa mpaka...
  10. BaBa BoGo

    Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

    Na huo ndo mzuri [emoji851][emoji851][emoji851]
  11. BaBa BoGo

    Wako wapi Branch na Tala?

    Mbona most ya app za mikopo zinafanya hii inshu ya kukusanya taarifa unaweza kuta unadaiwa akapigiwa hata mzazi wako akaambiwa mwanao tunamudai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  12. BaBa BoGo

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    Hizi kazi wanaweza omba hata ambao hawajapita jkt au maana sijaelewa
  13. BaBa BoGo

    Imekaaje hii mzazi unakua mbinafsi hadi kwa watoto wako wa kuwazaa?

    Mzee noma [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Back
Top Bottom