Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,466
- 96,902
Kwani namba yako we ni ipi??, Mbona kwenye contact list si ioni😁😆😝Hameni mtandao wa kimbwindembwinde huo😁😁😁
Kwani namba yako we ni ipi??, Mbona kwenye contact list si ioni😁😆😝Hameni mtandao wa kimbwindembwinde huo😁😁😁
Kuomba radhi haitoshi, walipe fidia. Ilibidi niswitch kutumia voda ili mambo yarndeNimeona wameomba Radhi
Angalia tsup number yenye code +86Kwani namba yako we ni ipi??, Mbona kwenye contact list si ioni😁😆😝
Ni pm basi kabla sijafa, sio uje ulie kinafiki.Angalia tsup number yenye code +86
Chap kama upepoooo...chungulia PM😁😁Ni pm basi kabla sijafa, sio uje ulie kinafiki.
👉Eti nili mpenda Sana Mr Dell🙄😆🤣🤣
Dah hii jf tu, pm nayo ni ya Kumnyima mtu🙄🤒Chap kama upepoooo...chungulia PM😁😁
Kasome ilaniLeo 20 January mtandao wa airtel umekuwa down kabisa, sms haziendi, Internet imegoma na huduma za airtel money zimekuwa chini sana ku process.
Yaani nimepata hasara sana leo pia nimeshindwa kuwasiliana nipo pande za Dar hapa.
Airtel mtufidie wateja wenu kwa usumbufu huu
Huenda😀Wanafanya mazoezi ya tarehe 24