AMANI YA BWANA IWE NANYI.....
pole mkuu bobuk wala sikwazi na hasira na jaziba zilizokutawala nayasadik sana uyasemayo kwanza futa kauli kuwa mimi ni liCCm, kwan mimi cna chama ila nina dini, ya ulimboka niliandika hapa, ya mwangosi pia nilisema, kibanda nayo nmelauma sana hali kadharika hata ya...
Wakati mwingine ni kuharibu CV za watu hayo amefanya kwa ngazi ya kanisa na ktk maeneo ya RC ambao kiukweli hata wewe wakikuweka utafanya makubwa, huyu jamaa Slaa kwa sasa ni mwanasiasa mzuri na kama akipunguza tabia za uroho zile hakuna kama yeye, kwanza ni mkali na mwenye kusimamia vema...
Baraka ziwe juu hata kama mu washen... na wavivu wa kufikiri..
huyo bwana anaitwa thom malenga na sio lukuvi? lakini pia si lukuvi aliyesema wapigwe tu?
kama ni wasoamaji wazuri wa magezeti last week bwana Nyaroocho Kicheere mmoja kati ya mwandishi/mwanasheria gwiji na adhimu hapa nchini...
Amani ya bwana iwe nanyi!!!!
mimi binafsi nmekerwa sana na hili jambo eti baada ya msako wale magaidi walikimbia na wengine waliuwawa eti wake zao ambao ndio wasaidizi wakuu nikaona et yule Tanga RC Chiku Galawa anawabembeleza,hivi kweli jamani tumefikia hapo kumbembeleza mshirika wa watuhumiwa...
Acha kupenda short cut mpendwa katika bwana, coz vp kuhusu credit? inamaana na wanafunzi pia wa shule za serikali warisit hapo haitakuwa fea kwa elimu yetu, we jipange kama vp utafute vyuo au laa uwahi ukalipie mtihani kama nawe ni muhanga ili urudie mitihani.
Infact yule Bujugo ni mkorofi ila hii thread hapa si mahala pake, wadau wa pale Green acrees hebu nikonect na mtu mmoja aliitwa magesa chals alikuwa form three pale Green acres mwaka 2008. tafadhalin sana wadau muniunganishe nae au kama yupo anicheki mtumishi wa bwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.