Recent content by Ba Chomsky

  1. B

    Jinsi ya kupata mtoto wa kike

    Ahsante kwa majibu wacha nijipange
  2. B

    Jinsi ya kupata mtoto wa kike

    Habari ndugu zangu. Poleni na kazi. Mwenye utaalamu naomba afungukenaomba nijuzwenamna ya kupata baby girl m'period ya wife ni 22 au 23 kila mwezi
  3. B

    Tusaidiane: Tafsiri ya neno 'deadline' kwa Kiswahili ukitumia neno moja tu

    deadline Makataa ndo kisawe chake kwa kiswahili
  4. B

    Naomba msaada wa kidaktari

    Ahsante ndg.uvimbe uko kwa ndani. Yaani ukimgusa unahisi kama mfupa fulani hivi ambao ni kama ubavu, akilalia mgongo unatokeza,ilhali upande wa pili hali kama hii haipo. Ila wacha nimpeleke hospital for more check up.
  5. B

    Naomba msaada wa kidaktari

    Ahsante ndg. kwa ushauri
  6. B

    Naomba msaada wazee

    kunywa maji kwa wingi, usisahau matunda.Punguza ulaji wa ugali aina ya sembe. kula dona ndo mpango mzima :yo:
  7. B

    Naomba msaada wa kidaktari

    Ndg zangu habari za majukumu. Mwanangu anauvimbe sehemu ya chini ya mbavu kushoto kuelekea kwenye tumbo.Uvimbe huo ni kama mfupa lakini sio. Wenye kujua hili tatizo karibuni kwa msaada. Mtoto anaumri wa mwaka 1 na miezi 3. Karibuni.
  8. B

    Tunatangazwa 'Live' NTV Kenya kuhusiana na kusafirisha pembe za tembo kwenye ndege ya rais wa China

    Imenisikitisha Sana hivi Serikali yetu na wabunge haya masuala mnayachukuliaje Ni aibu kubwa Sana naangalia kituo cha ntv cha Kenya hapa wanaeleza jinsi ziara ya rais WA china ilivyofanikisha kusafirisha maelfu ya pembe za ndovu.hivi nchi yangu Tanzania tunakwenda wapi? Huku naambiwa Lazaro...
  9. B

    Kutafuta jinsia ya mtoto kabla hajazaliwa

    Habari wana JF naombeni kujuzwa namna ya kupata mtoto wa kike, mama yoyoo wangu huwa anaingia M'period tarehe 18 takribani kwa kila mwezi. Afu uzazi wa mpango kwa njia ya kalenda mie bado unanichanganya, manake siuamini. Msaada na ushauri KARIBUNI!!!
  10. B

    Nimesikitika sana, kumbe UKAWA walichezewa karata tatu?

    Wacheni tusubili:llama:
  11. B

    Ushauri kwa wadogo zangu form v 2014/15

    Ndg.umeshauri vizuri.Make hawa madogo wakipewa ushauri hawaeli soma.Maisha makumu sana hasa unapokuwa umehtmu kozi.Nimeupenda ushaur wa kuwa na marafiki.Mie nkwa Chuo kik wamensaidia sana,had leo baada ya koz mafend tunatoana.Chamsing ni kujua aina za marafiki.
  12. B

    Masikini UKAWA

    Mie napita tu.Lakini nijuavyo tutegemee Cover page Mpya ya Katiba
  13. B

    Hebu ona mwenzako nilivyoanza kujiajiri!

    Sawa dogo we komaa tu.Vijana watajifunza kwako.Mahindi yakikomaa tutumie ya kuchoma au sio
  14. B

    Waalimu kuboreshewa mishahara

    :yo:Inanikumbusha nilivyokuwa mdogo, mama alikuwa akiniambia 'nyamaza mwanangu nitakununulia gari japo ni ngumu geto hakuna hata baiskeli.Watz wenzangu, mabadiliko ya posho na mishahara kwa wabunge sawa ila si kwa walio wafundisha!!!!!!!!!!!
  15. B

    Kikundi kama M23 chaanzishwa Karagwe,kinafanya mauaji!

    :A S 39: Duuuuuuuu!!!!!!Kisiwa cha amani.Kaka taarifa hizi mbona zinastua moyo?Lakini acha tuone wenye dola wanasemaje.Any way Mungu ataepushia mbali.Make M23 ni balaa,They are above Dafuu and Alshababi
Back
Top Bottom