Nimesikitika sana, kumbe UKAWA walichezewa karata tatu?

Nimesikitika sana, kumbe UKAWA walichezewa karata tatu?

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,485
Kumbe Mtu mwenye heshima kubwa ktk nchi hii mwenye dhamana kubwa kabisa hapa nchini anaweza kushiriki vitendo vya Uongo. Leo ndio nepata uhakika kuwa kumbe Rais na Sitta lao lilikua moja kuwa zuga, kuwahadaa, ku buy time, na hatimae kuwapiga changa la macho UKAWA. huu ni mkakati ulisukwa mahsusi ili kifanyike kilichofanyika juu ya uandikwaji wa katiba yenye kuinusuru CCM.



Hatimae yametimia na sasa ni ndoto kupatikana katiba inayotakiwa na wananchi kama ilivyopendekezwa na Tume ya Warioba.Mpango huu haramu uliwahusisha kwa makusudi watu ambao hawahitaji katiba ya kweli ili baadae watoe matamko dhidi ya UKAWA. hawa ni Mrema,Cheyo,Dovutwa na wapinga mabadiliko wengine. Kikwete alikua ana mamlaka ya kumwamuru Sitta kusitisha BMK lakini alijifanya hayamhusu.Tuna safari ndefu. kwa masikitiko makubwa kabisa nawasilisha.
Source ya habari hii siwezi kuitaja.



.
 
Kumbe Mtu mwenye heshima kubwa ktk nchi hii mwenye dhamana kubwa kabisa hapa nchini anaweza kushiriki vitendo vya Uongo. Leo ndio nepata uhakika kuwa kumbe Rais na Sitta lao lilikua moja kuwa zuga, kuwahadaa, ku buy time, na hatimae kuwapiga changa la macho UKAWA. huu ni mkakati ulisukwa mahsusi ili kifanyike kilichofanyika juu ya uandikwaji wa katiba yenye kuinusuru CCM.



Hatimae yametimia na sasa ni ndoto kupatikana katiba inayotakiwa na wananchi kama ilivyopendekezwa na Tume ya Warioba.Mpango huu haramu uliwahusisha kwa makusudi watu ambao hawahitaji katiba ya kweli ili baadae watoe matamko dhidi ya UKAWA. hawa ni Mrema,Cheyo,Dovutwa na wapinga mabadiliko wengine. Kikwete alikua ana mamlaka ya kumwamuru Sitta kusitisha BMK lakini alijifanya hayamhusu.Tuna safari ndefu. kwa masikitiko makubwa kabisa nawasilisha.
Source ya habari hii siwezi kuitaja.



.
unafki huo..
 
Kumbe Mtu mwenye heshima kubwa ktk nchi hii mwenye dhamana kubwa kabisa hapa nchini anaweza kushiriki vitendo vya Uongo. Leo ndio nepata uhakika kuwa kumbe Rais na Sitta lao lilikua moja kuwa zuga, kuwahadaa, ku buy time, na hatimae kuwapiga changa la macho UKAWA. huu ni mkakati ulisukwa mahsusi ili kifanyike kilichofanyika juu ya uandikwaji wa katiba yenye kuinusuru CCM.



Hatimae yametimia na sasa ni ndoto kupatikana katiba inayotakiwa na wananchi kama ilivyopendekezwa na Tume ya Warioba.Mpango huu haramu uliwahusisha kwa makusudi watu ambao hawahitaji katiba ya kweli ili baadae watoe matamko dhidi ya UKAWA. hawa ni Mrema,Cheyo,Dovutwa na wapinga mabadiliko wengine. Kikwete alikua ana mamlaka ya kumwamuru Sitta kusitisha BMK lakini alijifanya hayamhusu.Tuna safari ndefu. kwa masikitiko makubwa kabisa nawasilisha.
Source ya habari hii siwezi kuitaja.



.
Hunaakili wewe.
 
Pole sana Mbatia na Lipumba ni wasaliti!
 
Pole sana Mbatia na Lipumba ni wasaliti!

Lipumba na Mbatia sio wasaliti katika suala hili la katiba.ila Uongo mkubwa umefanywa na watu wanaoaminika na jamii. tatizo lenu nyie mafisadi na magamba mkiona siri zenu zinaanza kivuja mnaanza kupotosha watu.Mtaumbuka sana mwaka huu.kila mtakacho fanya kwa hila gizani kitajulikana tu.
 
Inashangaza sana kuwa bado kuna watu ambao wana dhana kwamba rasimu ya Jaji Warioba ni ya UKAWA. Kama kuna watu wualiozugwa na kudanganywa ni wananchi wa Tanzania. Fumbueni macho mlione hivyo, la sivyo maisha bora kwa kila Mtanzania mtayasikia kwenye majukwaa tu!
 
Kumbe Mtu mwenye heshima kubwa ktk nchi hii mwenye dhamana kubwa kabisa hapa nchini anaweza kushiriki vitendo vya Uongo. Leo ndio nepata uhakika kuwa kumbe Rais na Sitta lao lilikua moja kuwa zuga, kuwahadaa, ku buy time, na hatimae kuwapiga changa la macho UKAWA. huu ni mkakati ulisukwa mahsusi ili kifanyike kilichofanyika juu ya uandikwaji wa katiba yenye kuinusuru CCM.



Hatimae yametimia na sasa ni ndoto kupatikana katiba inayotakiwa na wananchi kama ilivyopendekezwa na Tume ya Warioba.Mpango huu haramu uliwahusisha kwa makusudi watu ambao hawahitaji katiba ya kweli ili baadae watoe matamko dhidi ya UKAWA. hawa ni Mrema,Cheyo,Dovutwa na wapinga mabadiliko wengine. Kikwete alikua ana mamlaka ya kumwamuru Sitta kusitisha BMK lakini alijifanya hayamhusu.Tuna safari ndefu. kwa masikitiko makubwa kabisa nawasilisha.
Source ya habari hii siwezi kuitaja.



.
Unachokisema kinaukweli, haiwezekani Sitta akawa na kiburi cha aina hii.Siyo tu kama rais amewapiga changa la ukawa bali watanzania tuliomuamini alichosema.Kumbe sifa za rais lazims uwe muongo, fisadi, mla rushwa, mnafiki,
 
Piga viboko samweli 6

Huyu huu ujinga ameufanya baada ya kuhakikishiwa na genge la magamba.Kiburi hiki sio cha kwake peke yake.Hata hivyo sasa ni typical wajenzi wa mnara wa babeli kila mtu anaongea vyake.UKAWA wana sapoti ya watu na ukiwa na watu MUNGU anakua upande wako.
 
Lipumba na Mbatia sio wasaliti katika suala hili la katiba.ila Uongo mkubwa umefanywa na watu wanaoaminika na jamii. tatizo lenu nyie mafisadi na magamba mkiona siri zenu zinaanza kivuja mnaanza kupotosha watu.Mtaumbuka sana mwaka huu.kila mtakacho fanya kwa hila gizani kitajulikana tu.

"Hivi wewe Tundu Lisu ulishiriki vema kutunga sheria ya Bunge la katiba, waambie wenzio kifungu gani kinanipa mamlaka ya kuvunja bunge hili" (TL Kimya atahayari) "Haya nendeni mkatafakari" - Kikao cha kwanza cha maridhiano TCD na Rais
 
Unachokisema kinaukweli, haiwezekani Sitta akawa na kiburi cha aina hii.Siyo tu kama rais amewapiga changa la ukawa bali watanzania tuliomuamini alichosema.Kumbe sifa za rais lazims uwe muongo, fisadi, mla rushwa, mnafiki,
Mkuu, wajinga waliishaliona hilo siku ya mwanzo tu ya mzee Warioba kuhutubia BMK.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom