Recent content by Azole

  1. Azole

    Humphrey Polepole: Rais Magufuli hafurahishwi na mjadala wa kuongezewa miaka ya Urais kutoka 5 hadi 7

    Mwambieni atuachie nchi yetu kwasababu hata wenzake waliotangulia wangeamua kujiongezea muda madarakani asidhani kama Leo hii angekua kwenye nafasi hio aliopo Leo.
  2. Azole

    Kinachoendelea Zimbabwe: Nchi yawekwa chini ya Jeshi, Mugabe kung'olewa?!

    Azam tv ndiyo walioripoti mda si mrefu
  3. Azole

    Wabunge 8 na madiwani 2 wa CUF waliofukuzwa, Warudishiwa Uanachama hadi kesi ya Msingi itakapotolewa Uamuzi na Mahakama

    Kwakweli najaribu kuumiza kichwa juu ya hili suala lakini sioni mwisho wake utakuaje.
  4. Azole

    Kamanda Mambosasa: Tapeli aliyekwamisha ununuzi wa nyumba za Lugumi, alitumwa na Lugumi ingawa sina fact

    Tanzania inahitaji watu jasiri kama Dr. Louis, itaendelea sana
  5. Azole

    Wachambuzi wa Masuala ya siasa: Kilichomuondoa Lazaro Nyalandu CCM ni Katiba Mpya

    Tatizo mtajifanya kuanza kumuwajibisha sasaivi alivoondoka CCM, wakati miaka yote mpo nae na mlikua mkijua ufisadi wake wote ila tu kulindana,sasaivi ndo mmeanza kuona kwamba jamaa alikua fisadi.
  6. Azole

    Utamu wa siasa za Tanzania: Huku fisadi/mchafu,kule msaliti

    Asante kiongozi kwa maneno mazuri
  7. Azole

    Ziara ya Magufuli Mwanza yasababisha kero kwa wananchi

    Kaa kimya huna chakufanya wewe
  8. Azole

    Vijana nchi waipongeza Serikali ya awamu ya 5 kwa kufanikiwa kulinda rasilimali za taifa

    Hao vijana wameipongeza lini tena io serikali.
  9. Azole

    Jipatie laptop kwa laki mbili tu

    Ngoja tufanye utaratbu wa kukuchek mkuu
  10. Azole

    Kumbe BARICK walishaahidi kuilipa Tanzania dola milioni 700 lakini hawakutimiza ahadi yao.

    Lumumba wamekua na matusi toka jana, hawapingi kwa hoja wao ni matusi tu, sijui mkuu wao ndo alivowafundisha
Back
Top Bottom