Sikatai Saido ni mchezaji mzuri sana na amekua na msimu mzuri mno
Points zako zoote zimejikita kwenye "Saido amefunga hivi na vile"
Value ya Mayele inaletwa na mchango wake kwenye Ubingwa wa Yanga, ubingwa ulikua ni ultimate target/sababu ya ligi kuwepo na kufanyika.
Ukitoa mchango wa...
Or long term memory .. I might have read that 3 years ago.
Mtu aliyejibu vizuri kiasi cha kua wa kwanza katika 5k yuko poa. Nimekwambia still atafaulu vyovyote mtihani utakavyotoka, be assured of that.
Arguments zako za kitoto sana
Kwa hiyo hapo ndo umepima uelewa?
Unadhani ukiuliza swali la namna hiyo yule wa kwanza (aliyepata marks nyingi kwenye hayo maswali unayosema ni ya direct) atapata marks za chini? Make no mistake bado ataongoza yeye
Kuongoza marks kwenye watu 5k sio rahisi...
Mimi nakwambia mzee huwezi ita watu 10k uwaulize "what is your greatest strength"?
Hizo ni interview za experienced candidates ambao recruiter kawachuja kupitia CV zao kaangalia experience zao na kuvutiwa na wachache na kuwakaribisha kwa interview zaidi
Yani uite watu maelfu uwaulize "what...
Wewe ndio unabwabwaja. Post nyingi za utumishi ni entry level jobs wakati waajiri wengi jamaa anaowa-refer wanafanya standard interviews wanahitaji watu wenye experience.. hivyo wengi hapa hua wanapigwa chini
Kwa nn top recruiters kama PWC, E&Y, Deloitte ambayo ni industry standard huwa...
Tatizo kujifanya mjuaji sana.. Sasa kama unacandidate 8k - 10k utasahihisha Kwa hizo veiw za mmoja mmoja?
Yani wewe uwakusanye watu 10k uwaulize "how do you handle pressure at work"?
Watu wanafanya usaili kama wanafanya UE? Unazungumziaje makampuni (top companies) duniani zinazoenda vyuoni kurecruit watabe wa UE?
With all due respect ukihitaji watu wawili kwenye 500 hata kama umewapa hayo maswali unayoyaita ya UE mtu akiibuka kidedea out of 500 candidates then ana kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.