Recent content by azithromycim

  1. azithromycim

    Makonda: Wanaopiga kelele rushwa ni hatari ni kwasababu ya njaa tu hawajaingia jikoni wakiingia mdomo utajaa mafuta

    Makonda unataka kusema wanaopinga rushwa wanapinga kwasababu hawajapata nafasi ya kupewa rushwa Hakika umepotoka na kauli hii itakutesa kisiasa hadi ujute kwanini uliisema
  2. azithromycim

    PostGE2025 Asasi za Kiraia: Tume ilitumia taarifa za Polisi ambao nao wanatuhumiwa kuua waandamanaji

    Imeona wapi tume iliyowasilisha ripoti kwa raisi mbele ya waandishi wa habari na umma baadae Waite tena waandishi wa habari kufafanua ripoti ambayo wameshaiwasilisha
  3. azithromycim

    Kuna muda wapangaji ukiwa mpole wanajimilikisha nyumba yako.

    Kupangisha nyumba nibiashara lakini pia ni huduma kutokana na athari zake katika jamii.
  4. azithromycim

    Mapendekezo ya maboresho ya mfumo wa "Lipa kwa Simu"

    Ndio maana tunaiyomba serikali ije na universal QR isiyokuwa na tozo kwa mteja na mfanyabiashara. Ilk kuhamasisha Cashless Economy
  5. azithromycim

    Mapendekezo ya maboresho ya mfumo wa "Lipa kwa Simu"

    China wanatumia alipay, we chat pay, Brasil wantumia PIX Kenya wanatumia m pesa ila wanapambana kutengeneza universal QR
  6. azithromycim

    Mapendekezo ya maboresho ya mfumo wa "Lipa kwa Simu"

    QRIS nimiongoni mwa mfumo imara sana duniani ya malipo mkononi
  7. azithromycim

    Mapendekezo ya maboresho ya mfumo wa "Lipa kwa Simu"

    Ukuaji wa huduma za malipo ya kidijitali mitaani ni hatua muhimu kuelekea uchumi usiotegemea fedha taslimu (Cashless Economy). Hata hivyo, ili kufikia malengo ya kitaifa ya ujumuishaji wa kifedha, kuna haja ya kufanya mapinduzi katika muundo wa sasa wa malipo. 1. Kuanzishwa kwa Namba Moja ya...
  8. azithromycim

    Haji Manara kaacha ndara (ndala) mbele ya John Heche

    Manara alikua anahoji kama kijana wa uvccm maswali yake yalikua yakutetea mamlaka
  9. azithromycim

    PostGE2025 Tundu Lissu: Nipo tayari kwa mazungumzo nikiwa huru na CHADEMA ikifutiwa kesi zote

    Misimamo saba inayoenda kutibu shida na mahangaiko ya watanzania
  10. azithromycim

    John Heche: Tusiposikilizwa, tutaitikisa nchi kwa maandamano; Lissu aachiwe huru

    Heche tangaza maandamano Tupinge huu uhuni
  11. azithromycim

    Kwanini Heche hapingi vita Mashariki ya kati?

    Hata akikemea sauti yake trump hataisikia
  12. azithromycim

    LATRA na kupanda kwa nauli

    Tukiendelea kuwachekea hawa mbogamboga watakuja watuue kwa maisha magumu
  13. azithromycim

    Rais Samia: Naanza kupunguza matumizi ya mafuta ofisini kwangu, kwenye msafara wengine nitawaweka kwenye kibasi kimoja

    Unapunguza matumizi ya mafuta katika ofisi yako hiyo itasaidia kushusha bei ya mafuta ? Nilitarajia matumizi yote ya hovyo uyazuiye alafu pesa utakazookoa upeleke kama ruzuku ya mafuta ili mafuta yashuke bei
Back
Top Bottom