Recent content by azithromycim

  1. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Wasira: Hakuna njia ya mkato ya kuleta maridhiano isipokuwa mazungumzo

    TJA (Truth, Justice and Accountability) ndio njia pekee ya maridhiano
  2. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Kuna wanaume nikiwaangalia kwa muonekano wao, najiuliza hivi huyu atapata mpenzi kweli?

    Mwanaume sio sura kijana pole ukiwahiwa utapona maana unakoelekea nikuleft group
  3. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Katambi: Ukitaka kuandamana, katoe taarifa Polisi

    Mtego wa panya huo
  4. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Chadema yagoma Daktari wa serikali kuchunguza kifo cha Dereva wa Heche, yaleta Daktari wa Chama chao

    Pathologist atokeserikalini au private hawawezi kuficha ukweli chamsingi wakati wa uchunguzi chadema wapeleke wawakilishi wanasheria na pathologist wanaemuamini
  5. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya uwekezaji nimeufanya (Saloon)

    Usiuze saloon mkuu maana nibiashara isiyohitaji usimamiz mkubwa tafuta kijana then mpe hesabu kwa siku
  6. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Nipo Shinyanga natakiwa kwenda Moshi msibani, nina elfu 30, kama kuna mtu ana private car anaelekea hukio naomba msaada tafdhari

    Umrpata usafir kama bado nijuze napita shinyanga mjini nusu saa lijalo
  7. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Kuwa nje ya mawasiliano for time Huo muda utumie ili kuponya majeraha yako then muda mwingi mrudia Mungu na fanya shughuli za jamii
  8. azithromycim

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    All the best brazil
  9. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Anachokifanya Fr. Kitima ni utovu wa nidhamu kwa mamlaka ya Kikatoliki

    Kukemea uovu sio kufanya siasa na sikosa kisheria nanikazi ya mtumishi wa Mungu kukemea maovu. Kinachotushangaza niwale mashekhe wanatangaza kukata watu vichwa, Wanoatangaza kuwa wanamiliki makundi vya kigaidi bado wapo uraiyani na hamuwakemei maana nikinyume na mafundisho ya Mungu na nikinyume...
  10. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Tangu tumepata uhuru Patrobas Katambi ndio waziri wa hovyo kupata kutokea

    Waziri asiyejua hata sheria ya personal data protection act 2022
  11. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wanaowacheka watu waliojenga nyumba badala ya kufanya biashara

    Nimefanya biashara maranyingi nikaambulia poor sasa nafokasi na ardhi tu nasivinginevyo
  12. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufikia hatua ya kuzima simu kwa siku nzima au zaidi kukwepa calls na messages ?

    Huwa nazima simu maranyingi sana haswa nikitaka utulivu wa akili na kujitenga na jamii
  13. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Waziri Patrobas Katambi: Kitambulisho cha NIDA sio taarifa binafsi. Ni Public na ndio maana mnasheherekea Birthday

    Personal data protection act 2022 ( sheria ya kulinda taarifa binafsi za mtu) ndio inatueleza nida nitaarifa binfsi na sio public waziri amepotoka
  14. azithromycim

    JamiiForums Tanzania Tafuta pesa Kwa nguvu, dunia ni katili Kwa maskini

    Kwaakili hizo unasafari ndefu sana
Back
Top Bottom