Makonda unataka kusema wanaopinga rushwa wanapinga kwasababu hawajapata nafasi ya kupewa rushwa
Hakika umepotoka na kauli hii itakutesa kisiasa hadi ujute kwanini uliisema
Imeona wapi tume iliyowasilisha ripoti kwa raisi mbele ya waandishi wa habari na umma baadae Waite tena waandishi wa habari kufafanua ripoti ambayo wameshaiwasilisha
Ukuaji wa huduma za malipo ya kidijitali mitaani ni hatua muhimu kuelekea uchumi usiotegemea fedha taslimu (Cashless Economy).
Hata hivyo, ili kufikia malengo ya kitaifa ya ujumuishaji wa kifedha, kuna haja ya kufanya mapinduzi katika muundo wa sasa wa malipo.
1. Kuanzishwa kwa Namba Moja ya...
Unapunguza matumizi ya mafuta katika ofisi yako hiyo itasaidia kushusha bei ya mafuta ?
Nilitarajia matumizi yote ya hovyo uyazuiye alafu pesa utakazookoa upeleke kama ruzuku ya mafuta ili mafuta yashuke bei
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.