Recent content by azariah davis

  1. azariah davis

    Anayeweza kuniunganisha na NGO's inayohusika na watu wenye VVU

    Good and well ...kwa kukusaidia tu nenda Hospital yeyote kubwa apa Inchini( Haswa za serikal) Ongea na incharge vizur kabisa kwa kujitolea kufanya kazi na watu wa CTC katika idara ya Cancelling...kiufupi connection za NGO's utazipata uko .. easy Sana....all the best Mdada..
  2. azariah davis

    Natafuta kazi, nina elimu ya uuguzi ngazi ya shahada (bachelor in Nursing)

    Usikimbilie kuajiliwa Omba internelship Kwanza ujipatie CV ....
  3. azariah davis

    Ninatafuta kazi inayohusiana na Ufamasia

    Check connection nying Dar es salaam Chapu tyu kwa Wahind ila ukawe Makin usije tolew kafala mama
  4. azariah davis

    Uko wapi na hii lock down bubu....!?

    Mzeee uko wapi USA au wapi
  5. azariah davis

    The Vogue challenge

    Then wat next
  6. azariah davis

    Natafuta nafasi ya kazi za kujitolea katika taasisi & kampuni au shirika lolote

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......dunia simama Nishukee...!![emoji119][emoji119][emoji119]
  7. azariah davis

    Natafuta nafasi ya kazi za kujitolea katika taasisi & kampuni au shirika lolote

    Bado mdogo sana ivyo we pambana tyu kwa mtaaa akili ikomae..kwanza
  8. azariah davis

    Fundi Mbobezi wa Fridge namuhitaji. Awe na at least Degree. Malipo siyo tatizo

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atareeeeeeeeee.....!!!
  9. azariah davis

    Mwalimu wa Kilimo toka SUA anahitajika

    Subiri wapo wanakuja Mkuu ila pia unaeza chukua mtu aliesoma Agribusiness Apo SUA nazani atakuwa msaad Tena Multiple corse anaweza fundish masom ya Business na Agriculture pia.
  10. azariah davis

    Natafuta kazi popote

    Nenda Suma JKT makao Makuu yao yapo Kawe ( Dar es salaam ) kila siku wanatoa ajira kwa vijana walopitia mafunzo Ya jeshi pale.
  11. azariah davis

    CRUTI ni mdudu"

    Kipyenga Mzee wanaitaga wahun[emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom