Njiwa wangu
Senior Member
- Dec 5, 2020
- 146
- 286
Nafasi ya mwalimu wa kilimo kutoka SUA anahitajika.
Shule ipo Mkoa wa Mara wilaya ya Tarime Vijijini na iko mpakani kabisa mwa Kenya na Tanzania shule ni ya sekondari ni bweni na kutwa pia ni kituo cha kulelea watoto yatima na shule ya msingi ipo ndani ya eneo hilo.
Makazi yapo kama mwalimu mwenye sifa karibu sana.
Degree ya KILIMO toka SUA.
whasap namba only 0620307124
Shule ipo Mkoa wa Mara wilaya ya Tarime Vijijini na iko mpakani kabisa mwa Kenya na Tanzania shule ni ya sekondari ni bweni na kutwa pia ni kituo cha kulelea watoto yatima na shule ya msingi ipo ndani ya eneo hilo.
Makazi yapo kama mwalimu mwenye sifa karibu sana.
Degree ya KILIMO toka SUA.
whasap namba only 0620307124