Mikoani huku hamna soko kwa mashoga?
Mbona ni Dar tu?
Ifikie hatua wanaume wa Dar muwe na chama chenu sasa mtambuane yupi ni delicious na yupi na ni real man
Mbali na music, Sama, Maua ana Shahada kutoka Chuo Kikuu huko Moshi. Mtu kama huyu alie na asset adhimu ya elimu usimngojee karibu eti afe kwa msongo wa mawazo.. Haha
Wakuu bila shaka ni kwema sana!
Naomba kufahamu kama kuna watu wapo humu ni either wafanyakazi wa UNHCR TANZANIA ama kuna mtu alishawahi kujaza hii form ya PF11 Anipe msaada zaidi namna nzuri ya kuijaza inipe priority. Nimetumiwa hii form kutoka UNHCR kigoma niijaze niwatumie kabla ya Ijumaa...
Hello ladies and Gentlemen..
Bila shaka mmeamka salana!
Natafuta solar panel used na vifaa vyake ninunue kwa bei ya maelewano. Kuanzia watss 10, 15, hadi 20.
Naomba kama una size mojawapo hapo juu tuwasiliane kwa whatsapp +255763877243
Nipo Ilemela Jijini Mwanza, Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.