Mbunge Tundu Lissu nakukubali sana kwa mchango wako katika taifa ila kwa uelew wangu mimi naona ulivowaambia watu wa jambo lako wakate mkaa kwel hapo hujaamua vizuri.
Vjana wote wamekat miti kwa kujiamin kwamba eti hakuna mtu atakaewasumbua ina sasa wamemalza miti yote hakuna mapori tena.
Habari zenu wakuu,
Naja kwenu leo mnisaidie kuna msichana nilianzisha uhusiano nae (wa kimapenzi) kiukweli mwanzo nilimpenda sana na hata yeye alikuwa anadai ananpenda tumeenda mwisho wa siku akadai mjamzto mimi sikukataa nikasema poa mama kijacho.
Kutoka hapo kimbembe kikaanza akaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.