Kuna mwamba jana alikuwa ananiambia toka azaliwe hajawahi kuwa na girlfriend wala hajawah lala na mwanamke. na saiv anasema ana miaka 26 na bado ana uvulana wake.yy anaogopa kutongoza wadada...
Hapa JF kumekuwa na visa nyingi vya watu kuja na nyuz za kujikatia tamaa na wengi wao ni wanaume.hata hapa tanzania wanaume wanaongoza na viza vya kujiua.
Kwa kwel maisha ya mwanaume ni mateso mno ila tufe kishenzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.